Recent content by Mtu_ bakize

  1. Mtu_ bakize

    GE2025 Baada ya Ummy Mwalimu kukatwa "Tutapigia Upinzani Kura si CCM"

    Mkisikilizwa hiki kilio chenu bac demokrasia ya nchi imekua.... Na hataka km hamuipigiii kura CCM hakuna kitu kitatokeaa
  2. Mtu_ bakize

    GE2025 Salim Kikeke: Nitaongeza thamani ya Soko la Nguruwe Jimboni

    Kikeke huyu kweli siasa n mazingaombwe
  3. Mtu_ bakize

    Hivi kuna mahali hapa dar kuna uchawi kuzidi Chanika,chamazi na Mbagala ???

    Uchawi upo kila Kona unashangaa uchawi wa chanika hizo daldla haziend bila uchawi.. Em kafungue biashara k/koo ndio utajua uchawi wa mjini
  4. Mtu_ bakize

    Wanawake mmekuwa wepesi sana kugawa utamu,badilikeni

    Yaan kwa zama zero hz nikutongoze eti uniringishie kwa wiki nzima wakati nataka kunjunja tu.. Baki n utamu wako wapo kibao unashika mkono unaondoka wadada w anatafuta Ela kaka mambo ya mahusiano tumewaachia wahidi
  5. Mtu_ bakize

    Je, kuonana mara kwa mara kuna imarisha mahusiano?

    Kama bado hamjaoana n vizur Sana kuonana weekend et list kuwe na missing day sio kila siku km mnatafuta chakula cha watoto
  6. Mtu_ bakize

    Hivi kwanini sisi binadamu hatuna plate number kama yalivyo magari na vyombo vingine vya moto?

    Finger print zetu n plate number tosha kila mtu ana za kwake aisee au hujaliwazia na hilii
  7. Mtu_ bakize

    Why me simpati mwanaume kama huyu i am tired kabisa

    Kumbe awe na usafiri na kamuonekano bac m bado
  8. Mtu_ bakize

    Naomba kuijua biashara mtandaoni ya Gwac, nasikia watu wengi wamejiunga

    Biashara za mitandaoni hizi gafla tu zinapoteaa
  9. Mtu_ bakize

    Mwanaume unakuwaje masikini wakati Mimi mtoto mdogo Nina pesa

    Hivi we n mwanaume kweli umekamilikaa
  10. Mtu_ bakize

    Mikoa inayoongoza kwa watu washamba.

    Zanzibar hujaweka
  11. Mtu_ bakize

    Je Kwanini CEO wa Simba ajiuzulu Baada ya ujio wa V.A.R?

    Kulikua na thank you yake inakuja kajiona bora ajiongeze kuliko kudhalilikaa
  12. Mtu_ bakize

    Kama haya ndiyo Mafanikio makubwa ya TP Mazembe kwa Soka la Afrika ambalo Yanga SC bado Wanajitafuta, walichokuja Kujifunza Kwao ni nini / kipi?

    Inaonekana watanzania wengi mna mihemko tu hamfatilii wa kutaka kujua mbona TP Mazembe walisema kile kilichowafanya waje Yanga lkn cha kusikitisha apa Sisi watanzania tuna wivu tu bac
  13. Mtu_ bakize

    Pambano la Mwakinyo laahirishwa, mkanda uliokuwa unapiganiwa haukuletwa ulingoni

    Hivi mwakinyo yupo?? Mbona km hakuna kinachoenda kutokea wakuu
  14. Mtu_ bakize

    Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

    Akuna cha ubaguzi, sijui dini kujiona wao waislam sana.. Kinachowaangusha n utawala mbovu n viongozi weng n waroho bac Hivi kuna wabaguzi kama Wajeruman mbona nchi Yao iko vizur.. Amna lolote utawala tu hauna dira
Back
Top Bottom