Recent content by Mtu_ bakize

  1. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania FT: England 1-2 Argentina | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 15 Julai, 2026 | Nusu Fainali

    Mechi watu wamekamiana hii ni kutembeza viatu tu kipindi cha kwanza mpira wote umeharibika subir tuone 2nd half
  2. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Nimefurahi sana maana kila jambo utasikia awamu hii awamu hii.. Ongera sana na wale sio Gen Z
  3. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya Ummy Mwalimu kukatwa "Tutapigia Upinzani Kura si CCM"

    Mkisikilizwa hiki kilio chenu bac demokrasia ya nchi imekua.... Na hataka km hamuipigiii kura CCM hakuna kitu kitatokeaa
  4. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Leo ni leo asemaye kesho muongo. Polepole kuongea na Watanzania saa mbili kamili usiku! Usikose!

    Yuko wapi au wame blacklist
  5. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salim Kikeke: Nitaongeza thamani ya Soko la Nguruwe Jimboni

    Kikeke huyu kweli siasa n mazingaombwe
  6. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mahali hapa dar kuna uchawi kuzidi Chanika,chamazi na Mbagala ???

    Uchawi upo kila Kona unashangaa uchawi wa chanika hizo daldla haziend bila uchawi.. Em kafungue biashara k/koo ndio utajua uchawi wa mjini
  7. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Wanawake mmekuwa wepesi sana kugawa utamu,badilikeni

    Yaan kwa zama zero hz nikutongoze eti uniringishie kwa wiki nzima wakati nataka kunjunja tu.. Baki n utamu wako wapo kibao unashika mkono unaondoka wadada w anatafuta Ela kaka mambo ya mahusiano tumewaachia wahidi
  8. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Je, kuonana mara kwa mara kuna imarisha mahusiano?

    Kama bado hamjaoana n vizur Sana kuonana weekend et list kuwe na missing day sio kila siku km mnatafuta chakula cha watoto
  9. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini sisi binadamu hatuna plate number kama yalivyo magari na vyombo vingine vya moto?

    Finger print zetu n plate number tosha kila mtu ana za kwake aisee au hujaliwazia na hilii
  10. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Why me simpati mwanaume kama huyu i am tired kabisa

    Kumbe awe na usafiri na kamuonekano bac m bado
  11. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Naomba kuijua biashara mtandaoni ya Gwac, nasikia watu wengi wamejiunga

    Biashara za mitandaoni hizi gafla tu zinapoteaa
  12. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Mwanaume unakuwaje masikini wakati Mimi mtoto mdogo Nina pesa

    Hivi we n mwanaume kweli umekamilikaa
  13. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Mikoa inayoongoza kwa watu washamba.

    Zanzibar hujaweka
  14. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Je Kwanini CEO wa Simba ajiuzulu Baada ya ujio wa V.A.R?

    Kulikua na thank you yake inakuja kajiona bora ajiongeze kuliko kudhalilikaa
  15. Mtu_ bakize

    JamiiForums Tanzania Kama haya ndiyo Mafanikio makubwa ya TP Mazembe kwa Soka la Afrika ambalo Yanga SC bado Wanajitafuta, walichokuja Kujifunza Kwao ni nini / kipi?

    Inaonekana watanzania wengi mna mihemko tu hamfatilii wa kutaka kujua mbona TP Mazembe walisema kile kilichowafanya waje Yanga lkn cha kusikitisha apa Sisi watanzania tuna wivu tu bac
Back
Top Bottom