Recent content by Mtu wa hekima

  1. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia: Kuna watu wanapita huku na huko na kusema Serikali hii inafuja fedha Kwa kununua Magari ya kifahari badala ya Matrekta!

    Hili swala la Matumizi limekua tatizo kubwa hasa kwenye uongozi wa Africa. Kuna vitu vya muhimu lakini havipewi kipaumbele. Na hii imetokana viongozi kujibatiza jina la Uheshimiwa Na kulikataa jina la Ndugu. Unapo jiita MH maana Yake unajitengenezea kadunia kako pekeyako Na kujitenga Na watu...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Azam angalieni ubora wa unga wenu wa ngano, kiwango cha ubora kimepungua

    Mimi nj mdau wa muda mrefu wa unga wa ngano wa Azam. Lakini kwa sasa unga wenu umepungua sana ubora. Hauna ubora wa mwanzo umekua hauna quality umekua kama umechanganywa Na unga wa mahindi. Ukiukanda unakua kama mpira halafu hata ukitengenezea Maandazi hayawi soft kama zamani Na unanyonya...
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiwaelewa na kuwajua wanawake huwezi kuoa

    Tatizo Lenu Vijana mnajifunza kwa watu waliofeli. Badala ya Kujifunza kwa watu waliofanikiwa. Vijana wengi Mnajifanya Mnajua kumbe Hamjui. Ili Ujue nilazima Uwe mjinga ili Ujue. Ndio Maana mnaoa Na ndoa hazidumu hata mwaka 1 Sisi tupo kwenye ndoa zaidi ya miaka 30 tunadunda Mjini Na Maisha...
  4. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Hakuna kodi iliyoongezeka kwenye Majengo, pesa iliyokatwa ni deni la Julai 2023

    Ifikie Maala Hawa wabunge wapunguziwe mishahara pamoja Na maposho. Mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa. Mishahara pamoja Na posho ndio chanzo cha wabunge kutunga Na kupitisha Makodi ya Ajabu Ajabu. Wakati wa Magufuli. Hatukuona makodi ya Ajabu Ajabu Na Bado nchi ilipiga Maendeleo. Leo...
  5. M

    JamiiForums Tanzania DEMOKRASIA Kwa wajinga, wasiostaarabika, Wasiokuwa wazalendo yafaa nini?

    Sasa kama Mama Anaenda kuomba mikopo lukuki Unategemea nini? Sasa hivi majambazi yamerudi maana Yanatetewa tena Wanao onekana kutaka kukata mirija yao wanaambia waacheubabe sasa unategemea Nini? Tuna safari ndefu sana kufikia nchi ya Ahadi. Panya wana nenepa kwenye sufuria la Unga.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ziara ya watoto wa mjini yamnyamazisha RC mbabe

    Nchi hii Kuna watu Ambao hawakutakiwa wawepo kabisa mmoja wao ni wewe. Shida yenu Machawa hamjui taabu watanzania wanayopitia. Uzembe mazoea wizi Na Kutokuwajibika kwa watendaji wazembe kuna Fanya taifa letu kuchelewa kwenye maendeleo. Nikwambietu wakina Makonda wapo wengi sana. Hawatazimwa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kahyoza: Magufuli alifanya makosa makubwa kuhamishia Serikali Dodoma, gharama zimekuwa mara mbili

    Sasa kosa la Magufuli ni lipi? Kama viongozi wenyewe hawataki kuishi dodoma kosa la magufuli ni lipi? Tatizo la viongozi ni kuishi kwa mazoea Mwili uko dodoma akili zipo dar. Ilitakiwa ipitishwe sharia bungeni kwamba serikali yote ni lazima iwe dodoma kinyume na hapo ni uvunjaji wa katiba ya nchi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania UEFA EURO 2024 Azam wataonesha kweli?

    Azam wametukosea sana. Kutangaza mwamba zbc 2 watao yesha alafu tunaona manyoyatu! Huu ni uhuni na Uwizi kama uwizi mwi gine. Tumelipia tuangalie mechi mnatuletea uhunitu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Magari ya gharama kubwa yamekuwa mengi mtaani, nini kipo nyuma ya pazia?

    Umenifikirisha sana Mjomba. Keki inatafunwa Na watu wachache sana. Ukiwa chawa Unaelekezwa zilipo unajichoteatu. Mungu tusaidie watanzania hali siyo Nzuri japo viongozi wanasema ni nzuri labda kwao.
  10. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Watanzania tuombe Rais ajae awe na kaliba ya utunzaji wa rasilimali za taifa

    Sijui tumerogwa Na nani? Mirathilimali kibao bado tunakuwa maskini Na kutafuta mikopo. Hivi tumeshindwa kabisa kusimamia rathilimali tulizopewa Na Mwenyezi Mungu. Hivi waarabu wamewezaje kusimamia Mafuta Na Gess ikawa patia maendeleo makubwa? Mimi nadhani ni ukosefu wa viongozi wenye hofu ya...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufanya utafiti wa kina juu ya rushwa, wizi na ufisadi ndani ya nchi, JPM alitaka kujenga CCM mpya, wazalendo njaa wa upinzani hawakumwelewa

    Nchi hii Inahitaji Maombi Na kukanyaga Mafuta. Anapoinuka kiongozi Mzalendo Na mwenye kuioigania nchi Yake Na walarushwa, Atachafuliwa sana. Mfana Ndg Makonda. Huyu bwana Anafanya vizuri sana pale Arusha. Lakini wameinuka wanaojidai watetea haki za binadamu ndani ya chamq Na nje ya chama...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

    Jombaa hivi ukipiga mahesabu ya matumizi yako ya mwaka mzima na sadaka ulizo mtolea Mungu Mzani wako Unaelemea wapi? Sasa Kama mzani wako unaelemea kwenye matumizi basi kwa Mungu wewe ni Mwizi Na huna faida kwenye Ufalme wa Mungu Mjomba. Hivi kama Unaakili timamu Mungu Anakupa Uzima...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    Yesu Hana Dini wala Dhehebu. Madhehebu Na dini hayatokani Na Mungu. Madhehebu Na dini yanatokana Na wanadamu kama njia ya kumtafuta Mungu. Yesu Atakaporudi Atakacho Angalia Wewe ni Mwanafunzi wake? Je! Umemwamini kama Bwana Na Mwokozi wako? Sasa kama wewe ni Mfia dini Na madhehebu itakula...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Makonda ampandisha cheo Afisa Mtendaji kuwa msaidizi wa Mkuu wa Mkoa kwa kufuatilia vizuri matatizo ya wananchi

    Kaka vilaza Na Majizi ndio yanayo mchukia bwana Makonda.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu aeleza namna Bwawa la kufua Umeme la Julius Nyerere lilivyoathiri Wananchi wa Rufiji

    Nani Hasiye mjua huyu ni Kibaraka? Watanzania wachache watadanganywa lakini wengi wanajua wapi tunaelekea Leo tumepata Haueni ya Umeme Anajitokeza Kibaraka mmoja Anaongea Upuuzi mtupu.
Back
Top Bottom