Hii nikweli kabisa, mbaya zaidi mtengane hata kama niyeye kaamua kuondoka kwasababu zake, afu wewe mambo yakunyokee... Atamwambia alikukataa na ndo alifanya niwe maskini namengine mengi.
uchafu ni kitu chochote ambacho kipo mahali pasipo pake, hivyo hata mtu akiwa kwenye shimo la taka yeye ndo uchafu, wanaoongea uhongo kumchafua jamaa, wanajikushanyia uchafu kibao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.