Recent content by mtu mwenye moyo safi

  1. M

    Tulioishi na kusomea Tanga na viunga vyake kwa ujumla

    Kuandika tu kiswahili hujui! Matumizi ya herufi kubwa/ndogo hujui unatuita sisi kwa kazi ipi? Acha kutia aibu Watu wa Tanga. Rudi Shuleni kwanza.
  2. M

    TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

    Moyo unaniuma sana Mungu ninakuomba umpe pepo ya juu kabisa wanaokaa mitume na Manabii,
  3. M

    TANZIA Khalfani Seleman Kikwete ambaye ni kaka wa Rais mstaafu Kikwete afariki dunia

    Pole sana Mkurugenzi wa Kibaha Vijijini Mstaafu bi. Tatu Selemani Kikwet
  4. M

    TANZIA Khalfani Seleman Kikwete ambaye ni kaka wa Rais mstaafu Kikwete afariki dunia

    Pole sana Mkurugenzi wa Kibaha Vijijini Mstaafu bi. Tatu Selemani Kikwete
  5. M

    TANZIA RIP Profesa Josephat Kanywanyi

    Pumzika kwa amani Emeritius Prof. Josephat L.Kanywanywi ulikuwa mwalimu hasa wa mfano
  6. M

    TANZIA Waziri wa zamani, Dkt. Pius Yasebasi Ng'wandu afariki dunia

    Another mjane kijana mjini ila kapata hasara kama hajafanya nae uzazi
  7. M

    Juma lokole ni Nani?

    Juma lokole mwari wetu
  8. M

    Tukumbushane: Tuliowahi kuachwa na mabasi wakati wa safari

    :cool: HUU UZI NAUTABIRIA KUFIKA MBALI MAANA UNAONDOA STRESS KWA KWELI
  9. M

    Tukumbushane: Tuliowahi kuachwa na mabasi wakati wa safari

    aisee asubuhi kuna balaa pale hatari mara gari hujui limepaki wapi mara mahoni mara hooo
  10. M

    Tukumbushane: Tuliowahi kuachwa na mabasi wakati wa safari

    hiyo ilinikuta mwaka nahisi kama 2012 natoka dom kuja dar, nikajichanganya nikanunua chipsi mayai msamvu hapo ee bwana kuja kufika ruvu tumbo linakorodeka kama mtu anakoroga zege nasikia baridi vinyweleo vimesimama bwana ee nikaenda kwa konda naomba nikajisaidia konda anasema jikaze hadi mbele...
Back
Top Bottom