Je, haya mazoea ya miaka mingi ya kuogea sabuni za kufulia ni sahihi kweli? Kama si sahihi, yana madhara gani kwa afya za watanzania hapo baadae?

Tatizo ni mfumo wetu wa maisha watu wanachukulia vitu simplesimple tu unakuta unaenda kwenye nyumba ndoo zq kutumia hazijapangwa mtu anafulia ndoo io io anatumia kuogea huu sipend hii tabia na kuna wengine unakuta ndoo io io inatumika adi choon tena afadhal ww umesema mshindi kuna wengine wanaogea mpaka OMO

Tena sisi tunaokaa maeneo ya jiran na uswahilin ni balaa mtu unaoga sabun unatundika kwenye dirisha dogo la juu bafun watu wanaiba mpaka sabun nilichoka kwa kwel yaan sasa hv nikimaliza kuoga sabun naenda kuweka room

Yaan uku uswazi ni hatar tupu
Ila sabuni ya unga ya Omo inawasha hatari, ila kila mtu na ngozi yake
 
......................Kwamba zina madhara au?mbona sigara wameandika na tahadhari wametoa kuwa ni hatari kwa watumiaji hizo sabuni zingekuwa na hatari kiasi hiko nazo si zingeandikwa?

Nadhani hazina madhara ila wanavyozitangaza wanatangaza wakijua siyo wengi wanaopenda kuogea sabuni zisizokuwa na harufu nzuri so wanalenga kwenye kufulia tu ila tabu itakuja kama mtu anaogea sabuni ya unga but hizi za vipande sioni shida yake.
 
Sabuni za miche? mbona ni anasa tu! japo zipo sabuni za kuogea za gharama ndogo lakini ni ndogo hasitoshi familia nzima,bora ya kufulia unapata kipande kikubwa cha kutosha familia yote
 
Mkuu kuree tarime tunaogea kwanga sabuni kutoka kenya Tunajipaka hiyohiyo km mafuta mwirini mpaka leo ni daktari niko mkoani natibu watu haya mambo nenda polepole
 
Sasa mm nliyeogea omo na mpaka Sasa sometimes naogea omo mtaniweka kwenye kundi gani!? Na ngozi naona iko biyee kabisa
 
Sabuni hizi wanazoziita za kuogea yaani za kishua madaktari wengi wanasema si nzur mana zina kemikali nyingi sana ila tunashauriwa tutumie hizi jamaa, mshindi na n.k kwa kuwa hazina kemikali nyingi tena mpk watoto wachanga wanashauri watumie hizo wakati wa kuoga kwanza hizo sabuni za kuogea zinachavua kali sana mda mwingine mpk kuleta mafua
 
Back
Top Bottom