Tukisema hakijitoshelezi , Hata kingereza pia hakijitoshelezi, Wamekopa maneno mengi mno ya lugha za Kilatini na Kigiriki/ Kiyunani.
Lugha Ili iwe, misamiati inaundwa, au kukopwa / kuazimwa kutoka lugha nyengine.
Kwa mtazamo wa harakaharaka IQ haitegemei na dini ya mtu.
Wapo wagunduzi wa dini tofauti na Hata wasio dini pia, wa rangi na makabila / mataifa tofauti. Kuanzia zamani mpaka sasa.
Hayo mengine naendelea kusoma Kwa wadau mpaka nikijiridhisha nitakuja kukupa maoni yangu.
Nota Bene; kuhusu maraisi...
Hizo ni siasa tu, yeyé baba yake mbona anamiliki ardhi na si Mzanzibari wa kizaliwa ? Mzanzibari mkaazi na uraisi wakampa. Ukikaa miaka miwili au mitatu (sikumbuki vizuri) una haki ya kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi na kumiliki ardhi na kugombea nafasi za ubunge / uwakilishi n.k.
Siasa na...
Ifufueni TIPA ( kiwanda cha kusafisha mafuta) au anzisheni chengine . Kuna faida tele
1: ajira Kwa watu .
2:kununua mafuta ghafi , petrol, dizel , lami n.k (rahisi kwetu)
Swali la msingi ni kukata tiketi Kwa ID , huo WEREVU wako wa kwenye swali lako ndo nikakuuliza vile. Sasa kama Sheria ni mbovu basi ieleweke vivyo (na baadhi ya wafanyakazi wanatumia Chaka hilo )
Wengine hawajahi kufika upande wa pili wa Muungano, ukichukulia wafanyakazi wa mahoteli ya Zanzíbar ,90% wanatoka Bara, ila alokuwa hajafika ataleta kelele, vijijini Bara kuna wavisiwani kibao, wanalima n.k ila wengime ndo kama hao.
Je tunashindwa na huu wa nchi mbili, tutaweza wa Afrika nzima...
Siasa za dunia hizo, mwenye nguvu (Wamaghribi) wanamiliki vyombo vya habari, hufanya unyama wautakao, wanatumia habari kuhalalisha unyama huo, ila wengine wakifanya (Urusi + China) wanasema ni ushenzi .....
Wanawanyooshea kidole kimoja vyengine vinawaelekea wao wenyewe.
Hamna linalowakera...
Kuna tatizo hapo, labda tuseme la kiufundi zaidi ila nahisi ni la watendaji (mmoja kakataa kata kata namba ya NIDA, mwengine kaikubali, naona hapa changamoto wafanyakazi na si mfumo).
Wasalimie huko Mchambawima
Kuna mambo yanatatiza ukitoka upande mmoja wa hii nchi.
Wizara ndogo ya mambo ya nje iliyopo Zanzíbar, muhuri wake hautambuliwi na balozi zilizopo tz, ukitaka kupata muhuri wa balozi ukiwa na hati kutoka visiwani inabidi unaanza na kule, halafu inakuja Dsm ndipo upeleke ubalozini, na wizara ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.