Recent content by mtu kitu

  1. mtu kitu

    Maneno ya Kiswahili yaliyotoholewa kutoka lugha mbalimbali

    Tukisema hakijitoshelezi , Hata kingereza pia hakijitoshelezi, Wamekopa maneno mengi mno ya lugha za Kilatini na Kigiriki/ Kiyunani. Lugha Ili iwe, misamiati inaundwa, au kukopwa / kuazimwa kutoka lugha nyengine.
  2. mtu kitu

    Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

    Kwa mtazamo wa harakaharaka IQ haitegemei na dini ya mtu. Wapo wagunduzi wa dini tofauti na Hata wasio dini pia, wa rangi na makabila / mataifa tofauti. Kuanzia zamani mpaka sasa. Hayo mengine naendelea kusoma Kwa wadau mpaka nikijiridhisha nitakuja kukupa maoni yangu. Nota Bene; kuhusu maraisi...
  3. mtu kitu

    Kuhusu kumiliki ardhi Zanzibar, wengi hatukumwelewa Rais Hussein Mwinyi

    Hizo ni siasa tu, yeyé baba yake mbona anamiliki ardhi na si Mzanzibari wa kizaliwa ? Mzanzibari mkaazi na uraisi wakampa. Ukikaa miaka miwili au mitatu (sikumbuki vizuri) una haki ya kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi na kumiliki ardhi na kugombea nafasi za ubunge / uwakilishi n.k. Siasa na...
  4. mtu kitu

    Njoo tujifunze Kiitaliano

    Wanotaka kujiongezea zaidi , iwe kitaliano, kishispania au kireno , huyu mshkaji ana YouTube, anafundisha huko.
  5. mtu kitu

    Waziri Makamba: Sasa Serikali itanunua shehena ya mafuta moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji

    Ifufueni TIPA ( kiwanda cha kusafisha mafuta) au anzisheni chengine . Kuna faida tele 1: ajira Kwa watu . 2:kununua mafuta ghafi , petrol, dizel , lami n.k (rahisi kwetu)
  6. mtu kitu

    Leo, nimethibitisha kwamba Zanzibar ni nchi inayojitegemea

    Akili zetu zipo kuumizana tu mkuu....
  7. mtu kitu

    Leo, nimethibitisha kwamba Zanzibar ni nchi inayojitegemea

    Swali la msingi ni kukata tiketi Kwa ID , huo WEREVU wako wa kwenye swali lako ndo nikakuuliza vile. Sasa kama Sheria ni mbovu basi ieleweke vivyo (na baadhi ya wafanyakazi wanatumia Chaka hilo )
  8. mtu kitu

    Leo, nimethibitisha kwamba Zanzibar ni nchi inayojitegemea

    Ushawahi kutoka Zanzíbar kuja bara bila ya kitambulisho? Labda Kwa majahazi !!
  9. mtu kitu

    Leo, nimethibitisha kwamba Zanzibar ni nchi inayojitegemea

    Wengine hawajahi kufika upande wa pili wa Muungano, ukichukulia wafanyakazi wa mahoteli ya Zanzíbar ,90% wanatoka Bara, ila alokuwa hajafika ataleta kelele, vijijini Bara kuna wavisiwani kibao, wanalima n.k ila wengime ndo kama hao. Je tunashindwa na huu wa nchi mbili, tutaweza wa Afrika nzima...
  10. mtu kitu

    Biden: Putin alijidanganya anaweza kusambaratisha NATO

    Siasa za dunia hizo, mwenye nguvu (Wamaghribi) wanamiliki vyombo vya habari, hufanya unyama wautakao, wanatumia habari kuhalalisha unyama huo, ila wengine wakifanya (Urusi + China) wanasema ni ushenzi ..... Wanawanyooshea kidole kimoja vyengine vinawaelekea wao wenyewe. Hamna linalowakera...
  11. mtu kitu

    Leo, nimethibitisha kwamba Zanzibar ni nchi inayojitegemea

    Wachumba hao mkuu 😁🏃🏿‍♂️
  12. mtu kitu

    Leo, nimethibitisha kwamba Zanzibar ni nchi inayojitegemea

    Waukraine wapo huko ? Mapumziko mema kamanda.
  13. mtu kitu

    Leo, nimethibitisha kwamba Zanzibar ni nchi inayojitegemea

    Kuna tatizo hapo, labda tuseme la kiufundi zaidi ila nahisi ni la watendaji (mmoja kakataa kata kata namba ya NIDA, mwengine kaikubali, naona hapa changamoto wafanyakazi na si mfumo). Wasalimie huko Mchambawima
  14. mtu kitu

    Leo, nimethibitisha kwamba Zanzibar ni nchi inayojitegemea

    Kuna mambo yanatatiza ukitoka upande mmoja wa hii nchi. Wizara ndogo ya mambo ya nje iliyopo Zanzíbar, muhuri wake hautambuliwi na balozi zilizopo tz, ukitaka kupata muhuri wa balozi ukiwa na hati kutoka visiwani inabidi unaanza na kule, halafu inakuja Dsm ndipo upeleke ubalozini, na wizara ni...
Back
Top Bottom