Kuna ndugu yangu alifanya hivi kama wewe.Aliweka duka ila target yake kubwa ilikuwa kwenye MCHELE NA MAFUTA YA ALIZETI.duka lilikuwa la rejareja target products zilimlipa sana.Mpaka leo ni mfanyabishara mkubwa.
Nenda kariakoo angalia sehemu penye watu wengi kaa hapo.Tumia wiki moja tu.Kila siku amka asubuhi nenda eneo lilelile.Najua baada ya siku 7 hizo utakuwa umeanza kufanya kitu.
Mtoto kamletea niksi gani? Yaani umalaya wake na tamaa zake ndio amsemee Mtoto maneno mabaya! Chupi alivua yeye.
Mtoto ni zao la umalaya wake.Akae kwa kutulia
Wanawake wengi mnafeli hapa "SIKUPANGA KUWA NA MTOTO ILITOKEA TU"
Acheni kuongea huu ujinga na uongo kwa wanaume.
Wanaume tunajua MWANAMKE ANAFANYA MAPENZI NA MWANAUME ANAYEMPENDA.NA ANAZAA NA MWANAUME ANAYEMPENDA.
Wewe umezaa kabla ya ndoa,Je watoto wako watajifunza nini kwako? Umezini kabla...
BABA YANGU MUNGU AENDELEE KUKUPUMZISHA KWA AMANI.
Nakumbuka mengi sana ila yapo mawili yananisaidia mpaka leo.
1.MWANANGU KAMA KITU SIO CHAKO NI SIO CHAKO TU.HATA UKIFANYA UJANJA GANI KITU SIO CHAKO SIO CHAKO TU.
2.MWANANGU HATA MAMBO YAHARIBIKE KIASI GANI USILIE WALA KUTOA MACHOZI.WANAUME...
Nimejaribu kufikilia sana, Kulingana na maelezo yako.NI KWELI KABISA HIYO RISITI NI YA BODABODA.Yaani niende kando niombe na risiti tena niweke mfukoni!!!! AMINI ULICHOAMBIWA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.