we kaka huna adabu ndo maana hta unavyoambiwa ukwel una deny!ua galfriend or wife kama unaye ana shida!hedhi c uchafu ni wall imevunjika tu...acha kumdhalilisha mama yako eti mauchafu
kaka cfany siri,nyway najua ntapewa kat ya laki 3 mpaka 5..cna shamba wala nini!bt nimeambiwa ikionesha matumain napewa more,ndo maana naomba msaada kwa wataalamu ili niweze kupata maximum profit so as niongezewe mtaji
wadau me nimevutiwa sana na ushaur wa humu ndani,jaman me sina mtaji mkubwa lakin nataka nifanye kilimo,nimepewa assignment ya kutafuta wazo la kilimo,ambalo gharama zake ni ndogo ndo hapo nitakuwa assisted financially,nipo arusha nimemaliza chuo ila kaz hazipo!naomba msaada wenu kwa sababu sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.