Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ambaye ni Mwenyekiti wa CUF yeye tayari ameonyesha wazi kumuunga mkono mama, juzi kati lipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari alikwenda mbali sana kwa kuonyesha yupo tayari kumfanyia mama kampeni 2025.
Prof. huyo ambaye ndiye muasisi na muanzilishi wa vuguvugu la...
Watanzania na wa waafrika nilitaka kuwakumbusha tu kuwa Bara la Afrika liliuzwa rasmi 1885 kule Berlin Ujerumani ambapo wazungu waligawana kilakisehemu, hivyo sisi ni watumwa wa kilakitu.
Maneno ya Mh. ni ya kitumwa kwani leo wote tumekubali mama zetu kudhalilishwa kwa kufuata uzungu, haya...
Mpigaji, gaidi na mtumia fulsa awe rais wa nchi hii minadhani kugomea atagombea kwasababu ya mahaba yaliyopo huko Chadema lakini kumpa nchi huyoo jamaaa Kha!
Nawaonea huruma wanachama wa kawaida wa upinzani tangia 1992 mpaka leo wenyewe wanaamini kunaupinzani kupitia viongozi wao lakini hawajui mengi yanayoendelea nyuma ya panzi na huwa wanaama vyama wakizani watapata upinzani wa kweli kuitoa CCM.
Ebu fikili kama huku kanisani sisi tutawapiga waumini...
Katika hari ya kushangaza dunia Putin amesikika akitangaza kuivamia Ukraine na kusema yeyote atakaye jipendekeza atazaa nae, hivi hiki kibuli ni kweli anacho au biti.
Karibuni maana sielewi.
YAANI CHOO KIMEJAA MAVI MNAYATOA CHOONI MNAYALETA CHUMBANI MNAMOLALA.( Maneno ya Dr. Slaa)
Huyu mzee kama Chadema wangemjua sidhani kama wangempoteza kwa utamu wa BiG hakika huyu ndiyo Kibwetere wa Chadema. Ni Padri ambaye anakumbuka hata uchungu akiwa darasa la 3 hakika Chadema huyo ni Putin...
Mleta mada Tanzania ina msaafu wake wenyewe utakuwa mwansiasa gani ujui dini ya nchi yako, Mbowe yupo sehemu salama kabisa katika muhimili unaojitegemea yaani mahakama sasa unaposema wanaharakati na hao wanasharia sijui wapitie wapi?
Vumilia Mbowe mwenyewe anajua umuhimu wa muhimili huo ndiyo...
Wengi humu ni wanafiki na unafiki umewazidi ni aibu sana kwani juzi tu tulikuwa tunamsema Magu asafiri tulifikia hadi hatua ya kutaka kumsafirisha kwa nguvu kwenda hata kanchi kokote Ulaya lakini alikataa kata mpaka Sugu akawaka sana lakini alikataa wacha mama aende na asindikizwe hata akikaa...
Nilikuwa sielewi ule usemi wa sharia ni msumeno unakata ukienda na unakata ukirudi au unakata kote kote, sasa nimeelewa kumbe msumeno pia unakata nje hata ndani.
Tanazania inazidi kujipambanua kuwa nchi ya haki kwa mahakama zake kutenda haki bila kuangalia unatokea wapi.
Ole Sabaya mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.