johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,793
- 141,687
Kulikuwa na uvumi kwamba eti muasisi wa taifa hili Mwalimu Nyerere alitahadharisha kuwa makabila makubwa kama Wahehe, Wanyakyusa, Wasukuma, Wahaya na Wachaga hawafai kutoa Rais wa JMT kwani watatugawa.
Ule ulikuwa ni uzushi tu wa kisiasa ndio maana 1995 Augustino Lyatonga Mrema alipanda ulingoni na almanusura achukue dola mbele ya Julius.
Chadema tuleteeni Freeman Aikael Mbowe 2030.
Jumaa Kareem.
Leo ni Njia ya Msalaba
Ule ulikuwa ni uzushi tu wa kisiasa ndio maana 1995 Augustino Lyatonga Mrema alipanda ulingoni na almanusura achukue dola mbele ya Julius.
Chadema tuleteeni Freeman Aikael Mbowe 2030.
Jumaa Kareem.
Leo ni Njia ya Msalaba