Recent content by mtoto wa kibopa

  1. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Wakuu katika pita zangu kwenye application ya Vodacom(Mpesa)nimeona kuna ku link account ya PayPal..Sasa naomba kujua kama inapokea..je mpesa wameingia partnership na PayPal???
  2. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Tanzania Ninataka kujiondoa JF kutokana na uhaba wa watu wenye akili kubwa siku za hivi karibuni

    kwani siku ulipoamua kujiunga ulituambia?? so wewe ndio kati ya member wote wa jamii forum ndio mwenye akili?? punguzaa stress dada maisha ni mafupi
  3. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu demu alikua hanijibu meseji Sasa hivi anajibu nikiwa Sina mzuka nae inakuaje hii wazee

    kama anaitwa sarah basi jua nimemwa ndio kaona aje kwako hahaha...jiandae kwa yote...niliona alikublock na msg zako kila asubuhi za nakupenda
  4. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kua ushajenga tayari unakaa kwako halafu mtaani una chumba umepanga unalipia kodi?

    kuna jamaa hapa mtaani kafanya hivo mzee.kapanga kimaster chake cha kutombea tu visichana vilivyo na tamaa na maisha
  5. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kuachana na ex wako ulifanya nini ili kulipiza kisasi 🤔

    ukiachika jipe mda kwanza usikurupuke kutafuta mwingine
  6. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa ukishindwa kupanda ndege basi tena

    safiiiiii....hata huku USA ukikata ticket miezi mitatu au sita mbele huko bei inashukaa
  7. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume: Usijaribu kujitoa kafara kwa mambo yafuatayo

    no 1 ni yangu
  8. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa mjini, sijui nifanye nini! Ushauri

    wote wapo hivo mkuu aisee ila ni kama hawana mapenzi wamefuata pesa tu ...niloshaongea sana na demu wangu hii tabia lakini wapi
  9. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tumia Router za Fiberhome kama Access Point (AP)

    pamoja mzee
  10. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania nahitaji vifaa vya simu aina ya huawei mate 20 pro viwe used au vipya

    nahitaji vifaa vya huwei used hata kama ni vipya itakuwa sawa tu...vifaa ninavyovi hitaji ni mfuniko wa batri uwe na muonekano kidogo mzuri kama ni used,camera ya mbele na nyuma...au hata ikipatikana hii simu iliyokufa display nitanunua.
  11. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tumia Router za Fiberhome kama Access Point (AP)

    hii kitu nimefanya mimi,kuna tatizo lipo sijajua linatokana na hii extrnal router au ni company yenyewe ya fiber ndio wamelimi...ipo hivi mimi nina tumia fiber ya hawa netsolution na extrnal router natumia ya airtel zile za kwanza..issue inakuja ili niweze kulog in kwa hii router ya pembeni...
  12. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    zitakuwepo unless ikishawaka niaende kuremove account yako ya gmail kwanza then aweke ya kwako
  13. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Tanzania KERO Kimara Mwisho asubuhi kuna Foleni kali isiyotembea Dar nzima ikasome!

    hivi hii project ilikufa mzee??
  14. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Tanzania Askofu Ruwa'ichi: Kuna lofa mmoja ameandika barua kumshitaki Padri Kitima. Huyo si mkristu, ni kibaraka, msaliti, mnafiki na ndumilakuwili

    me mwenyewe ni islamic lakini nawakubali sana...dini ni ile inayokemea maovu
Back
Top Bottom