Recent content by mtoto wa kibopa

  1. mtoto wa kibopa

    Ninataka kujiondoa JF kutokana na uhaba wa watu wenye akili kubwa siku za hivi karibuni

    kwani siku ulipoamua kujiunga ulituambia?? so wewe ndio kati ya member wote wa jamii forum ndio mwenye akili?? punguzaa stress dada maisha ni mafupi
  2. mtoto wa kibopa

    Huyu demu alikua hanijibu meseji Sasa hivi anajibu nikiwa Sina mzuka nae inakuaje hii wazee

    kama anaitwa sarah basi jua nimemwa ndio kaona aje kwako hahaha...jiandae kwa yote...niliona alikublock na msg zako kila asubuhi za nakupenda
  3. mtoto wa kibopa

    Ushawahi kua ushajenga tayari unakaa kwako halafu mtaani una chumba umepanga unalipia kodi?

    kuna jamaa hapa mtaani kafanya hivo mzee.kapanga kimaster chake cha kutombea tu visichana vilivyo na tamaa na maisha
  4. mtoto wa kibopa

    Baada ya kuachana na ex wako ulifanya nini ili kulipiza kisasi 🤔

    ukiachika jipe mda kwanza usikurupuke kutafuta mwingine
  5. mtoto wa kibopa

    Kwa sasa ukishindwa kupanda ndege basi tena

    safiiiiii....hata huku USA ukikata ticket miezi mitatu au sita mbele huko bei inashukaa
  6. mtoto wa kibopa

    Wanawake wa mjini, sijui nifanye nini! Ushauri

    wote wapo hivo mkuu aisee ila ni kama hawana mapenzi wamefuata pesa tu ...niloshaongea sana na demu wangu hii tabia lakini wapi
  7. mtoto wa kibopa

    nahitaji vifaa vya simu aina ya huawei mate 20 pro viwe used au vipya

    nahitaji vifaa vya huwei used hata kama ni vipya itakuwa sawa tu...vifaa ninavyovi hitaji ni mfuniko wa batri uwe na muonekano kidogo mzuri kama ni used,camera ya mbele na nyuma...au hata ikipatikana hii simu iliyokufa display nitanunua.
  8. mtoto wa kibopa

    Tumia Router za Fiberhome kama Access Point (AP)

    hii kitu nimefanya mimi,kuna tatizo lipo sijajua linatokana na hii extrnal router au ni company yenyewe ya fiber ndio wamelimi...ipo hivi mimi nina tumia fiber ya hawa netsolution na extrnal router natumia ya airtel zile za kwanza..issue inakuja ili niweze kulog in kwa hii router ya pembeni...
  9. mtoto wa kibopa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    zitakuwepo unless ikishawaka niaende kuremove account yako ya gmail kwanza then aweke ya kwako
  10. mtoto wa kibopa

    Kwanini Polisi hawafugi ndevu?

    wapo wenye nazo.......inategemea upo kitengo gani....but siku hizi wengi tu wanandevu....
Back
Top Bottom