A moment ago
New
Add bookmark
#60
Badili no Yako ya Siri ya mpesa...kwangu inafanya kazi nimebadili no ya Siri na nimerudia rudia kuingia PayPal Hadi umekubali ...naona mpesa
Badili no Yako ya Siri ya mpesa...kwangu inafanya kazi nimebadili no ya Siri na nimerudia rudia kuingia PayPal Hadi umekubali ...naona mpesa wanashida kidogo kwa upande wa mpesa leo
Nawatumia kitambo ni wanaitwa netsolution wapo mkabala na chuo Cha cbe dar...hawana longolongo kabisa...mwanzo walikuwa wanaringa sahizi safii baada ya savvana kumwingilia kwenye makazi yake
Mkuu issue sio kutumia hizo kina binance,au kina skrill.the main pont ni hayo macompany ya ulaya ukiwafanyia kazi malipo yao mara nyingi ni PayPal..na hawana option nyingine..ni sawa na ww mkuu uwe mfanyakazi wa nmb unadhani mshahara wako watarecomend bank Gani kukulipa?
Hahahaha uzuri huamishi yaani wewe ni kuwithdraw tu kwa mpesa yako.ikingia tu kwenye account ya PayPal hapo hapo ukifungua application Yako ya mpesa unaokuta pesa yako
Yes inawezekana but PayPal unatumika sana kwa watu wanaofanya kazi mtandaoni ambapo company nyingi zinalipa kwa PayPal,na bongo ilikuwa PayPal haifanyi kazi ya kureceive so wabongo wengi tukawa tunamtumia line za safaricom ili kulink na PayPal..bahati mbaya zaidi PayPal wakikushtukia walikuwa...
Yes inawezekana but PayPal unatumika sana kwa watu wanaofanya kazi mtandaoni ambapo company nyingi zinalipa kwa PayPal,na bongo ilikuwa PayPal haifanyi kazi ya kureceive so wabongo wengi tukawa tunamtumia line za safaricom ili kulink na PayPal..bahati mbaya zaidi PayPal wakikushtukia walikuwa...
Zamani bongo PayPal ilikuwa haireceive pesa zaidi ya kusend na kutumia tu mtandaoni kwa ajili ya kununua vitu.sahivi pesa unapokea na pesa unaiona kwenye account Yako ya mpesa ni ww tu kuwithdraw
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.