Kwenye LinkedIn kama unataka ufanikiwe cha msingi usianze kuwatumia watu cv ovyo ovyo kisa umeona kwenye profile yake ni Hr au CEO au MD no.
Tengeneza profile yako vizuri yani mtu akiview hana haja ya kuomba CV yako.
Omba connection na watu yani connection watu wengi zaidi usiangalie ana cheo...
Inawezekana nkutie moyo
Nmesoma 1yr A level comb ya HGL
Nkafaulu kwa ufaulu mkubwa
Nkapangiwa chuo SUA na nkapata na mkopo juu
Na first degree nikawa bado na ule moto wa kusoma hatari.
Nkahitimu na GPA kubwa ambayo inaniruhusu kuwa Tutorial wa chuo kikuu.
Nmehitimu 4yrs agoo
Nkutie moyo...
Jamani wapi ni chimbo la vifaa vya kufungia zawadi na maua, yale mabox ya kopa, round, squares na deep love karatasi nzuri za kufungia maua au wanaziita wrapping papers, ribbon za kufungia zawadi na maua, kwa jumlaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.