Ndugu marafiki nina mchumba ambaye nimekuwa nae kwa muda wa miaka 2,na kwa muda wa wiki 3 amenisumbua sana ikiwa ni pamoja na kutoongea na mimi.Leo nimemwita na kuongea nae kwa utulivu kujua kulikoni na amenieleza jambo lililonimaliza nguvu kabisa,anasema anajutia kitendo cha kunisaliti kwa kuwa...
Ndugu wana jamii nahitaji msaada wenu,nina mchumba ambaye nimedumu nae kwa muda wa miaka 2,nampenda sana na ni mrembo sana.Hivi karibuni nimegundua ametoa ujauzito ambao alinipa taarifa kuwa anao lakini anajitetea kuwa hakuwa nao.Mbaya zaidi kwa sasa ananijibu kwa kauli mbovu sana na hata muda...
Helo wana jamii amani iwe nanyi,mimi ni mwanaume ambaye nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja kwa muda wa miaka 2, nampenda sana na December mwaka huu nilitaka kumwoa.Wiki tatu zilizopita alinieleza kuwa ni mjamzito na haikunipa shida maana niliona ni jambo la kheri.Lakini cha...
Thats why I dont trust women moyo wangu uliumizwa hivyo hivyo yaani kama unavyotaka kumfanyia jamaa na mimi ilikuwa hivyo,stori yako imenikumbusha mengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.