Kipi kigeni hapo, kwani hamjui MUKANDARA ni SWAHIBA wa KAKA MKUBWA,heri yangu mimi niliyemaliza KAdegree kangu wakati bado tupo wa 13 AFRICA.Halihalisi inajulika coz baada ya MUKANDARA kuwa MAKAMU MKUU wa UDSM,kila kitu kimebadilika,na matatizo yamekuwa kibao.POLE SANA TENA SANA.