Kama inawezekana kurukishwa basi Brigedia prof. Kohi anatosha. Au general Marwa. Ni vema jeshi likaongozwa na wenye jeshi lao.
Sent from my itel W6004P using JamiiForums mobile app
Reli inalipa kusafirisha mizigo. Mizigo hipatika kwa kuwa na uzalishaji wa viwanda au wa kilimo au uvunaji wa rasilimali. Sie tuna uzalishaji upi ikiwa hata liganga na mchuchuma zimetushinda
Reli kwa Africa ni usafiri wa mizigo, usafiri wa watu( wagonjwa, wenye mikokoteni, baiskeli,bodaboda, nk) ni barabara. Kama umewahi kuishi maeneo aliyotaja mtoa maada utakuwa umeelewa
Kufikia uhuru na demokrasia kamili katika nchi yetu ni mapambano ya vita kamili. Lazima uwe na multiple specialized forces and tactics and strategies.
Lazima Chadema ijipange na ipigane in both frontiers.Lazima ivipige vita vyema kipropoganda, kiuchumi, kidipromasia, kisheria,kisiasa, kiroho nk...
Asante kwa kumuonya. However, I guess it is too late now. Mie nimeshawasilisha kesi rasmi mahakama ya mwisho. Nimeweka maandiko yake 2 ya kuishtumu CDM ambayo nimeomba mahakama iyapitie na kuona Kama ni ya haki ama la.Nimeomba mahakama baada ya kupitia nyaraka hizo itoe hukumu dhidi ya upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.