Mkuu hii story yako nakumbuka pia uliiweka kwenye uzi wa "Mkasa upi ulikufanya ujute sana" Nilicheka sana nilipoisoma na leo nimeikuta hapa ni kama umenitonesha kwa kicheko..
Iliwahi kutokea kwenye benki moja hapa Tanzania ambapo na mimi nilikuwa mmoja wa wanufaika mwaka 2017.
Nilikuwa na shughuli za ujenzi nikamaliza hela yote kwenye account, nashangaa naulizia salio linasema kuna Milioni 8.
Nikaona bahati ilioje hii, nikatoa milioni moja nyingine nikaziacha kwa...
Nilisimuliwa na mtu ninaemuamini, ila muhusika hakufa lakini alijeruhiwa sana usoni. Na pia nilisoma sifa za paka. Ni kiumbe hatari anapotaka kujihami kutokana na hatari iliopo mbele yake.
Sultani Tamba movies zake ziliegemea vitisho zaidi ila Mussa Banzi alikuwa anapiga kotekote mapenzi na vitisho.
Kuna movie ya Sultan Tamba inaitwa Wasiwasi, wanaume wawili wanagonga mlango usiku wa manane, mlango ulipofanguliwa wanauliza wapi kuna msiba.
Aliefungua mlango anashangaa na kusema...
Uswazi enzi hizo kwenye sherehe za kukesha na muziki tuliita vigodoro nyimbo za taarab zilichukua nafasi kubwa sana. Ndio zilizomtoa Msagasumu. Na ndio nyimbo zilizozaa singeli kutokana na kuweka machombezo katika wimbo wanaita radha.
Mtaa wa Manzese Beston kuliwahi kutokea na mkasa kama huo, kuna kijana alikuwa mwizi alieshindikana. Ukapita muda mrefu bila kuonekana nyumbani kwao, zikaja taarifa kuwa ameuwawa kwenye tukio la wizi na mwili wake umehifadhiwa chuma cha maiti.
Ndugu zake walivyokwenda hospital ili kuutambua...
Ukiacha dawa za Hospital, dawa kubwa ya asili ni kuyakalia maji ya uvuguvugu yaliyo kwenye beseni yaliyochanganywa na chumvi nyingi kila siku kabla ya kulala kwa siku tano mfululizo. Unapona kabisa.
Ni muda mrefu zaidi ya miaka 25 toka nimalize darasa la saba ila nina uhakika hata leo hii ukinipa mtihani wa Taifa wa Hisabati darasa la saba napata A.
Tena kwa mitihani ya miaka ya sasa majibu ya kuchagua na maswali mepesi ndio kabisa. Enzi zetu kipindi tunakutana Tuition na mitihani ya...
Kwa mtazamo wangu,
Wanafanya sherehe sio kwa sababu wamemfunga Simba ila wamemfunga kwa idadi kubwa ya magoli ambapo ni nadra kutokea na huchukua zaidi ya miaka kumi kwa Simba na Yanga kufungana kwa idadi kubwa ya magoli.
Kipindi cha nyuma Simba alishawahi kumfunga Yanga kwa magoli mengi na...
Habari wadau, kuna wimbo uliombwa na mdau muda kidogo nimeshindwa ku-tag comment yake ila wimbo nimeupata. Wimbo unaitwa maisha kigeugeu wa bendi ya MCA International wana MUNISANDESA.
Ni wimbo wa dansi wa zamani nakumbuka ulitoka mwaka 1991.
Kama mtakumbuka haya mashairi "kwani maisha ya sasa...
Hata kama ungefuta hizo meseji ungesumbuka tu kukaa polisi na ukapata dhamana. Upelelezi ungeonyesha pesa alipokea. Hata kesi ingepelekwa mahakamani ungeshinda asubuhi tu. Kilichokusaidia ni kuepuka usumbufu tu.
Pesa ya kupewa ambayo unaweza kuikana ni ile ya mkono kwa mkono tu na si vinginevyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.