Milioni kumi unajenga nyumba au banda? Nadhani jina la mkopo lisiwe Mkopo wa nyumba labda waite mkopo wa kumalizia nyumba yako uliojenga maana kuna wale wanaojenga nyumba na kushindwa kuimaliza na mimi nikiwemo kwenye hilo kundi.
Kwa mtazamo wangu, mkopo wa nyumba unaofaa kwa mkopaji ni ule...
Mimi nikikuta kwenye simu ya mke wangu ameweka Superstar wa kiume kwenye Wallpaper na mimi naweka picha ya Ryan Coner au Mia Khalifa. Akiuliza huyu ni nani namtajia jina lake halafu namuambia nenda kam-search kwenye Google.
Hapana sio kweli, wimbo ule uliimbwa na Jahazi kuanzia waimbaji hadi wapiga vyombo.
Verse ya kwanza aliimba Khadija Yusuph.
Verse ya pili aliimba Fatma Ally.
Verse ya tatu aliimba Mohamedi Ally 'Mtoto pori'
Verse ya nne aliimba Prince Amigo.
Na kile kibwagizo cha Juma Dede kiliimbwa na Mzee...
Ulikuwa sio wimbo wa public au wimbo rasmi, ni wimbo wa tangazo la Radio times ndio maana hata kwenye album za Jahazi zote huo wimbo haupo. Ulikuwa haupigwi station yoyote ya radio zaidi ya Times FM ila kwa vile ulitokea kupendwa ndio watu wakawa wanao na pia ulikuwa unapigwa sana kwenye miziki...
Huo wimbo ninao ameimba Suelemani Mbwembwe, TX Moshi na Nico Zengekala wote ni marehemu kwa sasa. Ila sijauandika jina na nina nyimbo nyingi ngoja nitafute nikiupata nitauweka. Halafu unielekeze jinsi ya kum-tag mtu ili nikiupata kwenye gallery ya simu yangu niutume na niku-tag.
Hiyo mechi ya Simba na Azam ya kombe la shirikisho mwaka 2020 Simba alishinda goli 2-0 na sio goli 4-0. Ngoja niitafute youtube nikiipata nitaweka hapa.
Kuna mafundi ujenzi wazuri nawafahamu hawajapitia VETA wala chuo chochote wamejifunzia mtaani kupitia hiyo kazi ya saidia fundi. Kikubwa ni uvumilivu na malengo uliojiwekea.
Ukiona mtu zaidi ya miaka mitano yupo kwenye kazi ya saidia fundi basi huyo hana malengo ya kusonga mbele.
Na pia tusisahu kuwa mfumo wetu wa elimu umeegemea sana kwa waliosoma kuajiriwa kuliko kujiajiri. Na kwa vile kwa sasa soko la ajira ni dogo sana hali inayosababisha wasomi wengi kuwa Jobless na matokeo yake wasiosoma au wenye elimu ndogo ambao mtoa mada amewaita wajinga lakini mimi nawaita Risk...
Nimewakumbuka Members hawa ambao kwa sasa hawapo JF.
1. Kongosho- huyu alikuwa maarufu sana kwenye jukwaa la Chitchat.
2.Mbuzi Mzee- Huyu alikuwa humkosi kwenye jukwaa la Jamii photos.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.