wale inawezekana hawaendi haja, haiwezekani kwa kufikiri na kuamua namna hiyo..alafu wanakuja jipigia makofi lundo. Uchafu ukikaa sana mwilini unaathiri ufanyaji kazi wa ubongo
yanga wakifanya vizuri kidogo tu, wanajistukia wanaamua kuharibu timu ili msimu ujao waendelee kufanya vibaya..maana hawajazoea kufanya vizuri kama msimu huu
ulisaidiwa kipindi una shida, usifurahie kutowarudishia pesa yao. Kama una nafasi na uwezo warudishie pesa yao, unaweza pata shida wakati mwengine na wakakusaidia kwa kukukopesha tena. Lipa hata kama hawatakutishia kukukamata
yuko very smart, ukiona wanahangaika kumnyamazisha asisikike kwa wananchi ujue huyo mtu ana akili kubwa sana hasa katika kukaa na wananchi wake. Hapo anacheza na saikolojia ya wabaya wake, ukianza kumjaji ujue umeshaingia kwenye kumi na nane zake hahaha
CCM wanatakiwa wapimwe akili zao, inaonyesha wana akili za uzandiki sana. Kama nchi tujitafakari hawa watu watakuwa wanatuharibia nchi yetu. Kama kweli hilo ndilo punguzo basi watoke ofisini wajiudhuru kabla ya 2025
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.