Hatari: Mwalimu anayetuhumiwa kulawiti watoto 8 Kinondoni amepataje dhamana nje ya Mahakama?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,599
141,415


ITV imeripoti Mwalimu wa Global International school ambaye ni raia wa Kenya kutuhumiwa kuwalawiti watoto wadogo 8

Wazazi wa watoto hai wamedai wamkamata Mwalimu huyo na kumfikisha Oysterbay Police Station lakini walipomfuatilia siku ya pili wakaambiwa amepewa dhamana.

Inawezekana mtuhumiwa kama huyu kupewa dhamana nje ya Mahakama?

Hatari!
 
Hii nchi haijali haki za watoto.

Kumbuka Magufuli aliwasamehe wabakaji na walawiti wa watoto kina Nguza.

Hii nchi watoto wanapitia kwenye mazingira magumu sana.

Kuna mwalimu mwingine aliwahi kukamatwa akila vitoto vya kike vya darasa la saba shule moja ya mtaala wa kimataifa hapa Dar sijui kesi yake iliishia wapi.

Kwa wenzetu child molestation ni kesi unafungwa hata miaka 600. Watu wanaogopa kutenbea na watoto kuliko hata kuua mtu.

Lakini bongo ni mambo ya kawaida mbaba wa miaka 45 kukuta anakula katoto wa form 1 ama form 2 kama niana 16 na jamii inaona sawa tu, wanasema si aliyataka mwenyewe, kwa nini hakukataa.

Bongo kesi pekee utakayopata ukitembea na mtoto awe ni mwanafunzi na umpr mimba, kwa hiyo usipompa mimba ni halali yako kumla, mambo ya ajabu kabisa.

Lazima tuwe na sheria za kuwalinda watoto, tena sheria kali sana.
 
huwa nashangaa sana wazazi wanaopeleka hawa wanyama polisi badala ya kushugulika nao pasonali
Inashangaza kuona kibaka anachomwa moto afu mlawiti anapelekwa kituoni akalawiti wengine mle ndani, ale na alale bure kupitia kodi zetu na za wazazi wa waliolawitiwa.
 
ITV imeripoti Mwalimu wa Global.International school ambaye ni raia wa.Kenya kutuhumiwa.kuwalawiti.watoto wadogo 8

Wazazi wa.watoto hai wamedai walkamata Mwalimu huyo na.kumfikisha Oysterbay police station lakini.walipomfuatilia siku ya pili wakaambiwa amepewa.dhamana.

Inawezekana mtuhumiwa kama huyu kupewa dhamana nje ya Mahakama?

Hatari!
Sheria iko wazi kwani kosa hilo lina dhamana, sasa polisi watamnyimaje dhamana kama masharti ya dhamana ameyatimiza?
Kwani nani alikwambia kuwa ni mahakamani tu ndipo kwenye dhamana?kama kesi bado ipo kituo cha polisi , kisheria wana haki ya kutoa dhamana, kwa vigezo vyao, ila kesi itakapofikishwa mahakamani, ile dhamana ya polisi inakufa, mahakama nao watatoa masharti yao, akiyatimiza, basi ataendelea kuwa nje.msilaumu wasimamia sheria bali sheria zenu.
 
ITV imeripoti Mwalimu wa Global International school ambaye ni raia wa Kenya kutuhumiwa kuwalawiti watoto wadogo 8

Wazazi wa watoto hai wamedai wamkamata Mwalimu huyo na kumfikisha Oysterbay Police Station lakini walipomfuatilia siku ya pili wakaambiwa amepewa dhamana.

Inawezekana mtuhumiwa kama huyu kupewa dhamana nje ya Mahakama?

Hatari!

Hao wazazi ni makenge kabisa,yaani mtoto wako kaharibiwa halafu mnampeleka polisi? Mngemmaliza kabisa maana ni muuaji huyo….Hata kwa uchawi
 
Sheria iko wazi kwani kosa hilo lina dhamana, sasa polisi watamnyimaje dhamana kama masharti ya dhamana ameyatimiza?
Kwani nani alikwambia kuwa ni mahakamani tu ndipo kwenye dhamana?kama kesi bado ipo kituo cha polisi , kisheria wana haki ya kutoa dhamana, kwa vigezo vyao, ila kesi itakapofikishwa mahakamani, ile dhamana ya polisi inakufa, mahakama nao watatoa masharti yao, akiyatimiza, basi ataendelea kuwa nje.msilaumu wasimamia sheria bali sheria zenu.
Walawiti wanadhaminika?

Dunia imekwisha
 
Yupo mwamba mmoja aliyekwenda kumuwekea dhamana mlawiti Fulani. Lengo lake ni mlawwiti atoke kwenye mikono ya polisi ili aadhibiwe na raia.
Yule mhalifu aliistukia dili akakataa kutoka polisi.
 
Hapo kuna watu watakuwa wamejazwa wakajazika! Ili tu kulinda jina la shule na hiyo mlawiti.
 
ITV imeripoti Mwalimu wa Global International school ambaye ni raia wa Kenya kutuhumiwa kuwalawiti watoto wadogo 8

Wazazi wa watoto hai wamedai wamkamata Mwalimu huyo na kumfikisha Oysterbay Police Station lakini walipomfuatilia siku ya pili wakaambiwa amepewa dhamana.

Inawezekana mtuhumiwa kama huyu kupewa dhamana nje ya Mahakama?

Hatari!
Mimi ningempima Ngoma huyo Mwalimu, halafu kama Negative Namfiraaaaaaaah
 
ITV imeripoti Mwalimu wa Global International school ambaye ni raia wa Kenya kutuhumiwa kuwalawiti watoto wadogo 8

Wazazi wa watoto hai wamedai wamkamata Mwalimu huyo na kumfikisha Oysterbay Police Station lakini walipomfuatilia siku ya pili wakaambiwa amepewa dhamana.

Inawezekana mtuhumiwa kama huyu kupewa dhamana nje ya Mahakama?

Hatari!
Mkuu kuna dhamana za aina mbili 1. DHAMANA YA POLISI 2. DHAMANA YA MAHAKAMANI ukipewa dhamana ya polisi hii inaisha siku kesi yako inapopelekwa mahakamani...
 
Back
Top Bottom