Olympus mimi ninaona kuna kitu unakitafuta kwangu na mara nyingi huwa sipendi mtu flani apate umaarufu kupitia kwangu kamwe kana wewe baba kipande umejaaaliwa hivyo kuwa kipande. Pia huwezi niona hata siku eti nianzishe uzi mimi sianzishi uzi mimi naaanzisha kamba sawa
Daaaaaa Olympus mungu akujaalie wewe unae jitambua tena uwe na baraka tele kwa kujitambu akuongozeeee kwenye heri nyingi wewe unaejitambua ila mimi kama sijitambui najielewa
Yello masai tunachozumza ni kuthamini lugha yako sio lazima ajuwe lugha ngeni kama hawezi aongeee hata kikwao wanaohitaji huduma yake watatumia njia mbadalla kupata huduma yake
Kwanza ni bora hata aongee kiswahiri maana aonyeshe yeye ni mtanzania Halisi hayo mambo ya ulazima ujuwe kiingereza mi siafiki kabisaaaaaaaa mbona wachina wanaongea lugha yao na wapo vizuri kibiashara tuache utumwa
Ninachojifunza hapa kuna watu wana chuki binafsi kwa mtu fulani. Maana inaonekana kila kitu Kinamuelemea yeye. Ila wanashindwa kuelewa kuwa bila ya yeye jpm asingeingia maaana alikuwa na ushawishi mkubwa wa kumchinja kikubwa tuache unafiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.