Recent content by Mteremko

  1. M

    Msaada! Uhamisho kutoka Halmashauri (W) kwenda Wizara ya afya.

    Amepata kwa maneno, ameambiwa aandike barua ya kuomba nafasi hiyo iliyo wazi, baruo hiyo ipitishwe na mkuu wake wa kazi
  2. M

    Msaada! Uhamisho kutoka Halmashauri (W) kwenda Wizara ya afya.

    Asante kwa maelezo mazuri, je akishapata hiyo barua ya kuhakikishiwa kuwa Kuna nafasi wazi , anatakiwa afuate utaratibu ule wa kawaida wa uhamisho ( Kupitisha barua kwa wakuu wake wa kazi was Halmashauri na Mkoni wenyewe ndio was itume Utumishi ) au Kuna utaratibu upi? Na je, Barua ya...
  3. M

    Msaada! Uhamisho kutoka Halmashauri (W) kwenda Wizara ya afya.

    Hapana Hawa walipangwa na Tamisemi kwa hiyo wapo chini ya Tamisemi sio Wizara ya Afya. Yeye anataka kuhamia Taasisi moja wapo iliyo chini ya Wizara ya Afya.
  4. M

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Mshahara wa Lab. Scientist Benki ya Damu ( NBTS) kwa upande wa degree ni kiasi gani Machief?
  5. M

    Msaada! Uhamisho kutoka Halmashauri (W) kwenda Wizara ya afya.

    Wakuu habari zenu, naomba kufahamishwa ikiwa mtumishi aliye chini ya Halmashauri (W) Idara ya Afya amepata nafasi ya kuhamia moja ya taasisi za Wizara ya Afya. Je, afanye taratibu zipi mtumishi huyu ili aweze kuhama kutoka tamisemi kwenda Wizara ya Afya? N.B Nimeombwa ushauri nikaleta hapa...
  6. M

    Tuitition! Tuition! Tuition

  7. M

    Natafuta Chumba na subule

    Hakuna wahusika humu?
  8. M

    Natafuta Chumba na subule

    Maeneo ninayohitaji ni kimara, Riverside, Mabibo mwisho na Magomeni, isiwe mbali na barabara, iwe ndani ya fence, wapangaji wasiwe wengi, maji umeme viwepo, mwenye nyumba asiwepo hapo. Budget iliyopo ni laki mpaka laki na ishirini. Kama wewe ni mwenye nyumba ni pm
  9. M

    Nahitaji frame nzuri maeneo ya kituo cha mabasi cha mawasiliano

    Kazi kwa wamiliki, pia madalali mnaweza changamkia hiyo tenda. Ni PM kwa mawasiliano zaidi
  10. M

    Natafuta chumba na sebule mabibo mwisho

    Mwenye kuwa na taarifa ya au mwenye kuwa nacho naomba anijulishe. Budget Yangu ni laki moja
  11. M

    Chumba na sebule vinahitajika kwa ajili ya kupanga!

    Pia na maeneo ya Msasani
  12. M

    Chumba na sebule vinahitajika kwa ajili ya kupanga!

    Maeneo yawe, kimara , kinondoni, magomeni, riverside na mwenge,isiwe mbali na barabarani. Bei isizidi laki moja.
Back
Top Bottom