Recent content by MTENSA

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naikubali 'rushwa' anayotoa mbunge Filikunjombe...

    Filikunjombe ni miongon mwa wabunge wachache wa ccm wanaofanya kazi nzuri majimbon mwao
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete nchi imemshinda mwanzo mwisho

    Mheshimiwa anaondoka ameiacha nchi sehemu mbaya Sana na bado kuna wapuuzi wachache wanampongeza kwamba kafanya makubwa ni ulimbukeni na uvivu wa kufikiri
  3. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kutoa maazimio mazito ya Kamati Kuu leo

    Ni ulimbuken Mkubwa kushabikia matatizo yanayoweza kutatulika kisa suluhisho limetoka kwa mpinzan ndo maana hatuendelei
  4. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuasisi mgomo wa madereva ni kwa manufaa ya nani?

    Aliyesema serikali aihusiki katika usafirishaji amekosea Sana kwani kuna kitu kinaitwa puplic private partnership ni mkataba wa kiutendaji ambapo taasisi binafsi zitafanya kazi kwa ushirikiano na serikali vyombo vya usafiri vinafanya kazi kwa mujibu wa sheria hivyo kutokufanya kazi lazima...
  5. M

    JamiiForums Tanzania hali ya uchumi wa tanzania part 1

    Hali ya uchumi wa nchi ni mbaya Sana katika kipindi hichi kuliko hata kipindi cha miongo miwili iliyopita. Uchumi wa nchi unaonekana unakua kwa 7%toka mwaka 2000 mpaka na leo na per capita income imeongezeka kwa 50%, lakini takwimu hizi zime neglect ongezeko la watu (population growth) kwan kuna...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Heri ya pasaka wananchi wa Kigamboni, Hongereni kwa maamuzi magumu dhidi ya Diwani.

    safi xana wanamageuzi hao, unajua uongozi ni hekima na busara sasa endapo kiongozi anayakosa hayo ni mpumbavu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vijana Amkeni, CHADEMA haihujumiwi na CCM

    huwezi kutoa fact za kuanguka CHADEMA bila kufanya. projection ya maeneo wanayopoteza CCM kila uchaguzi huo ni uwendawazimu kuujua ukweli na bado kuupotosha
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni vita vya upinzani na chama tawala

    Wahenga walisema ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.Siasa za Tanzania zimeendelea kukua kadri muda unavyozidi kwenda tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi. Kumetokea vyama vya upinzan vyenye nguvu katika siasa za Tanzania katika vipindi tofauti tofauti, tangu TLP, CUF na CHADEMA...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Siasa za Tanzania na mfumo wa Divide and Rule

    Ukiingia katika siasa kuna matatizo na changamoto ambazo huna budi kukabiliana nazo kupanda na kustawi kwa Zitto Kabwe pamoja na juhudi binafsi lakini chama chake kimekuwa na msingi Mkubwa katika hilo hata yeye anakubaliana nalo. Tatizo ni kwamba siasa za Tanzania zilitengenezwa kuaminishwa...
Back
Top Bottom