Ukiingia katika siasa kuna matatizo na changamoto ambazo huna budi kukabiliana nazo kupanda na kustawi kwa Zitto Kabwe pamoja na juhudi binafsi lakini chama chake kimekuwa na msingi Mkubwa katika hilo hata yeye anakubaliana nalo.
Tatizo ni kwamba siasa za Tanzania zilitengenezwa kuaminishwa chama kimoja ndio tawala ya watanzania. Vyama vingi vya upinzani vilivyojitokeza tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe 1990's vimekuwa vikikabiliwa na changamoto nyingi kama vile ukata, usaliti, tamaa, n.k.
Hizi ni mbinu ambazo hupandikizwa na viongozi wabovu wachache wanaogopa mapinduzi ya demokrasia hivyo kutumia mfumo wa DIVIDE AND RULE SYSTEM ambayo kwa kuhofia ustawi wa vyama pinzan wachache kwenye maslahi binafsi hutafuta sababu ama za kuwaharibu viongozi wachache kwenye mvuto kisiasa ama kufarakanisha viongozi waliopo katika vyama kwani ilianza na TLP miaka ya 1995, ikaja CUF 2005 na sasa CHADEMA.
Swali la kujiuliza, ni kwanini historia ya mifarakano hii hutokea pale tunapoelekea kwenye chaguzi kubwa na zenye tija kwa taifa? Jibu ni rahisi kujaribu ku-stabilize nguvu ya vyama vingi kwa kuogopa mabadiliko.
Kimsingi namshukuru Zitto kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa taifa pamoja na madhaifu mengine yaliyojitokeza katika kipindi chake cha utumishi pamoja kukubaliana kidemokrasia kuvuliwa uanachama wake kwa kukataa kurudi mahakamani kupinga hukumu ya shauri lake alilofungua mahakamani.
Ni muda wa ndugu Zitto Kabwe kupumzika kisiasa na kuwaacha wengine waendelee kupambana na udhalimu unaoendelea.
ALUTA CONTINUA
Tatizo ni kwamba siasa za Tanzania zilitengenezwa kuaminishwa chama kimoja ndio tawala ya watanzania. Vyama vingi vya upinzani vilivyojitokeza tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe 1990's vimekuwa vikikabiliwa na changamoto nyingi kama vile ukata, usaliti, tamaa, n.k.
Hizi ni mbinu ambazo hupandikizwa na viongozi wabovu wachache wanaogopa mapinduzi ya demokrasia hivyo kutumia mfumo wa DIVIDE AND RULE SYSTEM ambayo kwa kuhofia ustawi wa vyama pinzan wachache kwenye maslahi binafsi hutafuta sababu ama za kuwaharibu viongozi wachache kwenye mvuto kisiasa ama kufarakanisha viongozi waliopo katika vyama kwani ilianza na TLP miaka ya 1995, ikaja CUF 2005 na sasa CHADEMA.
Swali la kujiuliza, ni kwanini historia ya mifarakano hii hutokea pale tunapoelekea kwenye chaguzi kubwa na zenye tija kwa taifa? Jibu ni rahisi kujaribu ku-stabilize nguvu ya vyama vingi kwa kuogopa mabadiliko.
Kimsingi namshukuru Zitto kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa taifa pamoja na madhaifu mengine yaliyojitokeza katika kipindi chake cha utumishi pamoja kukubaliana kidemokrasia kuvuliwa uanachama wake kwa kukataa kurudi mahakamani kupinga hukumu ya shauri lake alilofungua mahakamani.
Ni muda wa ndugu Zitto Kabwe kupumzika kisiasa na kuwaacha wengine waendelee kupambana na udhalimu unaoendelea.
ALUTA CONTINUA