Hata wafanyeje mwisho wa kushika nchi hii mafisadi umefika hata mwenyezi mungu anaona tunavyopambana na mafisadi anatupa sapoti mwisho wa siku tutashinda nguvu za mafisadi ambayo wanatumia pesa walizokuwa wakiiba serikarini kutaka madaraka watashindwa vibaya.
Lowasa ana nafasi ya kuchukua nchii hii hilo hasau hatuwezi kuwapa nchi mafisadi na matajiri wachache waendelee kunyonya nchii hii sisi tukiwepo kamwe abadani na magufuri akiingia watapanda mahakamani sana tu.
Hatuwezi kupeleka mroho wa madaraka ikulu na mgonjwa wa kiharusi ambae hata kutembea ni shida na fisadi aliekubuhu ikulu sio ya wezi na mafisadi kama ng;ombe zake achungie monduli na sio ikulu yeye ni muhuni kama wahuni wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.