Recent content by Mtemi Mojo

  1. Mtemi Mojo

    Sehemu ambayo mapato yanapotea ovyo hii hapa kwa Taifa letu. Rais Dr. Magufuli Itazame hii

    Kuna mtu alikuuliza huko juu. Hiyo idadi ya mabasi 500 yanayosafiri, umepataje idadi ya abiria 300,000? Idadi ya mabasi 500×abiria 65 = 32,500. Zidisha hao abiria kwa buku unayosuggest 32,500×1,000=32,500,000. Haya hiyo milioni kumi ya kumlipa aliyepata ajali inatoka wapi? Otherwise useme...
  2. Mtemi Mojo

    Naomba kufahamishwa haya kuhusu kuagiza mzigo China

    Kweli JF ni darasa. Naomba pia kusaidiwa. Nina kamtaji ka kama mil. 10, natamani kuanzisha biashara ya mabegi hasa backpacks na ya mkononi (ya kiume) pamoja na viatu vya kiume. Naogopa kuagiza (hofu ya kutapeliwa), kwa mwenye uzoefu ili hiyo pesa itoshe nauli, malazi, usafiri, na kodi, natakiwa...
  3. Mtemi Mojo

    Wanaotamani Kiongozi "perfect", wasubiri tuende mbinguni

    Sio risasi upone, anahakikisha Unakufa. Refer aliowatuhumu kupanga mapinduzi mwaka juzi.
  4. Mtemi Mojo

    Wanaotamani Kiongozi "perfect", wasubiri tuende mbinguni

    Sure. Katiba inasaidia. Ila haiondoi maovu ya wanadam. Slobodan Milosevic, Hitler, nk, wote walichaguliwa mi Katiba. Clinton aliongoza marekani yenye Katiba "nzuri" lakini akala demu ofisini.
  5. Mtemi Mojo

    Wanaotamani Kiongozi "perfect", wasubiri tuende mbinguni

    Hata ulaya, hali si hali ndugu.... Kuna jamaa anatawala Uturuki, ni zaidi ya Maduro wa Venezuela.
  6. Mtemi Mojo

    Wanaotamani Kiongozi "perfect", wasubiri tuende mbinguni

    Samtaim unapiga miayo, sivyo?
  7. Mtemi Mojo

    Wanaotamani Kiongozi "perfect", wasubiri tuende mbinguni

    Uzuri wa JF, tunapata fursa ya kuandika unavyojiskia. Wapo waandishi wazuri kama akina Mayalla, na tupo the majority other. Ila wote tupo huru kupost. Hii kitu "uhuru" umesemwa sana kuwa ni moja ya mambo yanayokosekana ktk utawala wa JPM. Jambo hili na mengine kadhaa limefanya nifikirie kwa...
  8. Mtemi Mojo

    Weekend story! BEN 10

    Katika episodes umeandika Lara 1, ni hii. Kwa niaba ya all the silent readers (including my wife who is a die hard fan wako), thank you.
  9. Mtemi Mojo

    Tundu Lissu: Government of Tanzania should come clean on deterioration in relations with EU

    So Hon. Lissu implies that Tanzania should not allow her relationship with the EU deteriorate. This is in my opinion is going against the ideas of sovereignty and independence. Just because they "help" a lot, doesn't mean we should agree and support everything they want from us. Otherwise we...
  10. Mtemi Mojo

    Fatma Karume: Sheria inayokataza mapenzi ya jinsia moja imepitwa na wakati

    So mtu Mzima akiamua kwa hiyari yake kubwia unga faragha akiwa hambughudhi mtu, aachwe tu. Sivyo?
  11. Mtemi Mojo

    Akram Aziz adaiwa kukamatwa na nyara za Serikali

    Kwa hali ilivyo sasa, mtu yeyote mkosoaji wa serikali akivunja sheria yeyote akakamatwa, utasikia people wanasema ni mbinu ya serikali kumtuliza. Objective thinking yetu tushaitupia dirishani.
  12. Mtemi Mojo

    Yote yatapita isipokua hiki

    Nikiwa nyumbani weekend nacheza na wanangu, mawazo juu ya mustakabali wao na nchi yao yakawa yananiijia. Ni wazi Taifa letu bado liko nyuma kimaendeleo lakini cha muhimu ni kuwa bado lipo. Ninacho jiuliza ni je? Taifa lao Hawa watoto wetu litakuaje, na cha msingi kabisa Litakuwepo? Naomba...
  13. Mtemi Mojo

    Kigoma: Zaidi ya wananchi 100 wa Jamii ya Wanyantuzu, wadaiwa kupigwa risasi na Polisi

    Ni shutuma nzito. Yani zinatosha kumfungulia mtu mashtaka ya kupotosha na uchochezi. Serikali isipomshtaki kwah hili basi tutaamini maneno anayoyasema. By Mnyantuzu.
Back
Top Bottom