Recent content by mtemelwa

  1. M

    Askofu Methodius Kilaini naye alimegewa 80m za mbia wa IPTL

    Kama mbowe alichukuwa hizo pesa na yeye dhambi ya ufisadi itamtafuna kama ni kweli. Mimi na shanga watazania janga kama hili mnafanya mchezo nalo linaweza kuleta madhara siku za usoni kwa aidha watu kuendele kufanya hivyo kwakua imekuwa ni mazoea mwanzo ilikuwa epa mambo yamefinyangwa finyangwa...
  2. M

    Masikini Prof. Kitila Mkumbo: Ndio basi tena!

    Kwani kitira amekosea ni vijana angalieni taifa kwanza vyama badae kuchambua wagombea sijambo baya na anatakiwa achambuwe wa ccm na waupinzani bira kumuonea haya mtu yoyote ambae badae atapeperusha bendera ya taifa huko nyuma kwa kweli tumekuwa na marais ambao hatuwajuwi nchi yetu kila mtu...
  3. M

    Swali: Ile nyumba ya Spika Urambo Mashariki inatumikaje?

    Mimi nikifanikiwa kuwa mbunge wa urambo 2015 nitaifanya kuwa sehemu ya kujifungulia wakina mama .
  4. M

    Maafa Kigoma: Boti yenye abiria wanaokadiriwa kufikia 80 yazama ziwa Tanganyika

    Kwanza na mimi natoa pole kwa watu wote walio patwa na ajali hiyo kwa waliopoteza maisha mungu azipokee roho zao na awape unafu ambao wako hosp
  5. M

    Hamis kiswaga: Zitto kabwe rudi jimboni kwako utimize ahadi zako za 2010

    Sasa kama amekwisha mnamjadili wa nini simumuacha nyinyi kwenye taifa hili mmefanya nini? Hata sisi tuwakumbuke? Siafadhari na huyo zito. yako mambo ameyafanya mtumie akili kila mnapo jadili mambo kazi kuwalaumu wenzenu yakwenu mnayacha
  6. M

    Msafiri Mtemelwa kugombea ubunge Urambo kwa Samwel Sitta 2015

    Naomba msinijadili bado nipo hai nyinyi vijana ambao mnakimbilia siasa kama ajila mue na nidhamu kumbukeni visima hivi vilichimbwa na watu nyinyi maji mme yakuta muwaheshimu walio chimba visima mmekuwa mkinisema sana kwenye mitandao kwa maneno ya uongo ambayo nyinyi hamyajuwi ulizeni muambiwe...
  7. M

    Mshitakiwa wa ugaidi aonyesha alivyolawitiwa na Polisi Mahakamani

    Kuwalawiti ni kosa la jinai hata angekuwa huyo polisi ana cheo gani lazima achukuliwe hatuwa hatuwezi kuendesha nch kihuni lazima jeshi la polisi libadilike katika uchuguzi sio kutumia aina hi Yo
  8. M

    Dr. Kitila Mkumbo awa Profesa

    Ongera prof kitira mkumbo tumia hiyo nafasi yako kwa ujenzi wa taifa letu taifa kwanza mengine badae
  9. M

    Marekani inathibitisha kifo cha Ballali

    Balali kifo chake ni utata sana na alazima watanzania tujifunze kufikili zaidi
Back
Top Bottom