Naomba msaada wa kitaalamu,
Ikiwa yupo anayefahamu njia ya kuchagua mtoto ili nichague mtoto wa kiume. Nilale na mwanamke wakati gani? Siku gani? Au nile chakula gani? n.k.
Naomba msaada
Naomba msaada wa kitaalamu, ikiwa yupo anayefahamu njia ya kuchagua mtoto ili nichague mtoto wa kiume. Nilale na mwanamke wakati gani? Siku gani? Au nile chakula gani? n.k. Naomba msaada.
Rais aweje kuhusiana na dini, kwamba aende ikulu kutangaza dini yake? Au kuimarisha misingi ya umoja wa nchi na amani kwa nchi yote?
Kumbukeni watanzania marehemu baba wa taifa alisema "huyu ni mtoto...", mara tu baada ya kufa baba yetu ccm ilisahau WOSIA WA BABA. Hii ni laana. Tumuombe Mungu...
Ni tabia isiyo nzuri, pia inakuwa inaashiria hali ya kukosa maadili kutoa taarifa za uongo kwa wenzako. Ajali si habari za joking. Mtoa habari JIHOJI.
Kama kweli imetokea Mungu awalinde waathirika wa ajali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.