Kwanza hicho sio chombo cha sadaka, hicho ni chombo cha karatasi za maombi, na hapo watumishi walikuwa wanaombea hayo maombi. Potelea mbali kama alifungua bahasha kutoa karatasi ya maombi maana maombi hayawekwi kwenye bahasha. Kama umeona mtumishi kafungua bahasha na ukaona kadokoa sadaka wakati...
afadhali Boban alikwenda akarudi kuwa hana raha na huko ugenini kisa analipa kodi kubwaa, huyo Ngasa alikuwa Simba akawagombaniwa na El Mereikh na Yanga yeye akaamua kwenda Yanga, Rage akamshawishi kijana acha uboya kacheze nje utatoka, yeye akaona Rage msaliti wakamchukua Yanga. sasa hivi sijui...
Kwa mpira niliouona kule Unguja na Kipanga, nilioushuhudia kule Tunis ule wa marudiano na niliouona na Yanga pale Lupaso na wa jana sio Club Africain ile nilioiona mechi zote hizo. Na ukizingatia ndio timu inayopendwa pale Tunis lazima kuna kitu wanakijua, na sio muda mrefu wataumbuana. Muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.