hakika watz tuliowengi tunaitaji mabadiriko yawezekana co kama upendekezavyo lakini hili mabadiliko yyte tuweze kuyapata 2015 haina budi ifanyike kampeni kubwa sana kuamasisha vjana kujiandikisha bila hvyo hakika ccm wataendelea kushinda..
moja ndo nataka ila kwakuwa wazanzibar hawataki moja kwa kuwa wanaipenda nchi yao zaidi ya muungano bac ni vema tuwe na tatu ila rais awe mmoja wengine wawe mawaziri wakuu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.