Recent content by MtanzaniaMakini

  1. MtanzaniaMakini

    Mwanangu anasumbuliwa na kifua

    Hapana sijamfanyia bado je inaweza kuwa sababu ya kifua cha mara kwa mara?
  2. MtanzaniaMakini

    Mwanangu anasumbuliwa na kifua

    Habari wana jamii forum. Nina mtoto wangu wa kiume miaka 2 na nusu, mwanagu huyu anasumbuliwa mno mno na kifua na hata mafua. Nimehangaika hospital nyingi anapewa madawa na kuchomwa sindano kwa udogo wake namuhurumia sana nimekuwa mtu wa mawazo sana sindano zinamuumiza hapa napoleta post...
  3. MtanzaniaMakini

    Mwanangu anasumbuliwa na kifua

    Habari wana jamii forum. Nina mtoto wangu wa kiume miaka 2 na nusu, mwanagu huyu anasumbuliwa mno mno na kifua na hata mafua. Nimehangaika hospital nyingi anapewa madawa na kuchomwa sindano kwa udogo wake namuhurumia sana nimekuwa mtu wa mawazo sana sindano zinamuumiza hapa napoleta post...
  4. MtanzaniaMakini

    Mwenye account ya bolt

    +255759501160 tafadhali nichek nami nahitaji
  5. MtanzaniaMakini

    MACHIMBONI: Sitosahau nilivyonusurika kufa

    Duuh kaka hebu njoo inboc
  6. MtanzaniaMakini

    Plot4Sale Eneo linauzwa Manzese Argentina

    Habari ndugu kuna Eneo linauzwa Manzese Argentina. Eneo linatazamana na barabara kuu ya Morogoro road jirani kabisa na kituo cha Mwendokasi cha Argentina Eneo linafaa ujenzi wa hotel, shell au kuweka kitega uchumi chochote Bei 400ml maongezi yapo kwa maelezo zaidi What's up number +255628891673...
Back
Top Bottom