About the job
We are Looking for TANZANIAN individuals with a diploma or bachelor’s degree in early childhood education and primary school education ONLY!!!! Teachers needed for Pre-School and primary class 1 ONLY!!!!
Uru Community is a private pre & primary school located in Uru— kimanganuni...
Okay asante mkuu, naomba kwa kuwa wewe unamwangaza kidogo, kama hautojali unipe brief ya vitu gani haswa vinatakiwa kwenye hiyo document.
Nitajie tu kwa bullets.
Hello everyone!
Naomba msaada wa kupata sample/template ya 'expression of interest' kwa ajili ya individual consultants.
Kuna sehemu nataka kupeleka maombi ya project management so wanachotaka ni expression of interest na mimi sijawai jaza hicho kitu. Hawataki application letter.
Nikipata...
Kwa ile oral interview ya dakika 5 bado una matumaini na hizo kazi mkuu?
Nilifanya hiyo interview lakini sina matumaini sababu ya namna walivyoiendesha. Maybe watazitangaza next month maana nilisikia zitatoka January ila mwezi umeshakatika huu.
Habari wakuu,
Naomba mwalimu au mtu yoyote mwenye notes za Shule za Msingi English medium anicheki PM tufanye biashara.
Nahitaji notes za grade 1 and 2.
Masomo ni
ASP
kiswahili
Writting
Reading
Health care and Environment
Kusoma
Numeracy
Nicheki PM
Au atume email kwenye mzalendo255@gmail.com
Kila mwanzo wa mwaka huwa naupitia huu uzi uliobadili maisha yangu.
Niliandika huu uzi nikiwa na mapito mengi sana ya kimaisha, ni kipindi ambacho siwezi kukisahau kwenye maisha yangu. Ndio kipindi nilijifunza kumbe inawezekana kabisa kijana mwenye nguvu zake anaweza kulala na njaa na leo...
Habari wakuu,
Naomba mwalimu au mtu yoyote mwenye notes za Shule za Msingi hususani English medium zilizo kwenye mfumo wa Soft Copy, Word Document au PDF anicheki PM tufanye biashara.
Au atume email kwenye mzalendo255@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.