Oneni aibu kumtaja Nyerere kwani Hanna mnachoenzi kutoka kwake!k ila alichokikataa mnakiweka kwenye Latina alafu leo mnajifanya eti nyerere day!uwiiii usanii mwingine hauna maana.Nyerere wasamehe bureau Hawaii wachumia tumbo kwa kulitumia jina lako vibaya!rest in peace father of our nation!
Hivi ccm walikua wapi mpaka Lema aje kuwadanganya wakazi wa Arusha?Ahadi za ccm zimetimizwa zote?uuwii huyo Munisi kwa nini anakosa adabu namna hiyo?Slaa na Mbowe si rika lake sasa kwanini anawataja kama anataja watoto wake?Ushauri wa bure kwake siasa uchwara zisimkoseshe nifhamu arusha...
Hakika tumemsikia Chagonja akipiga mkwara waandamanaji watakao jitokeza!Ila swali ni Je maandamano haya anayoyapiga mkwara ni kinyume cha sheria hapa kwetu?Kwa kiasi gani? amejiridhisha kua watu wakiandamana kwa amani wakiwa hawana silaha yeyote wala kutovunja mali zozote kutahatarisha amani?Je...
Hatuna sababu ya kutukanana!Mkristu na Mwislam wote ni watanzania na wanasiasa wanatokana na makundi haya hivyo basi mwislam anaetaka kumuhukumu mwislam ni Sawa na ni halali ikiwa atakua ni hakimu kwa mujibu Wa
sheria zilizotungwa na wabunge waislamu ndani ya bunge na si vinginevyo!Wakristu...
Waheshimiwa sauti ya watu wengi ni sauti ya Muumba na kinyume chake ni sauti ya shetani!waheshimiwa mlioko mjengoni mmejigawanya kwa jinsi mnavyojua na kupindua mawazo ya mamilioni ya watu na kujidai wazalendo hii ni hatari!Rai yangu kwenu ni kuwakumbusha kipengele cha kuwarithisha watoto wenu...
Kubenea ni mfano wa wazalendo halisi waliobakia hai Tanzania.Hakika nchi yetu itakombolewa mara ya pili na watu makini na siwapiga kelele na majungu kama walioko kwenye genge linaloendelea kule kati kati ya nchi!Mungu ampe nguvu na ulinzi mzalendo huyu!
Panya panya kwani huyo Membe katoka ukoo gani?Kama sio ukoo uleule wa panya?Tunataka fikra mpya kama angekua smart angekua mshauri mzuri kwa mwenyekiti wa mapanya!
Wadau,
Nimemsikia mzee Ngwilizi akisema wao wameamua zibaki serikali mbili ila wajue wenzetu wanajichagulia serekali na wana mambo yao wamekuwa wakitubagua hadharani na kutuchagulia rais kamwe haitovumilika kuona eti chetu chao wakati chao ni chao!
Muda wa kuidai nchi mojaunakuja au...
Wadau nimemsikia mzee Ngwilizi akisema wao wameamua zibaki serikali mbili ila wajue wenzetu wanajichagulia serekali na wanamambo yao wamekua wakitubagua hadharani na kutuchagulia raisi kamwe haitovumilika kuona eti chetu chao wakati chao ni chao!muda wa kuidai nchi mojaunakuja au Tanganyika...
Hivi huyo dada baada ya mivutano yooote leo anakuja na hadithi ya mimba ya bro Emma kweli?Mungu alikupa karama sio ya kujitukuza kwa mambo ya kidunia na umaarufu m bovuuu!Usiwe sababu ya watu kuuchukia uokovu!!
Tanzania bila wachumia tumbo inawezekana!Kuna nini Ikulu mbona kila MTU anapataka?Eti mawaziri wakuu waliopita wanapataka kuna dili gani?Watanzania wenzangu embu tujiulize kwanini wanapashindania kiasi hiki? Mimi naona ni wakati wa fikra mpya haijalishi anatokea wapi tumtafute MTU ambaye hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.