UVCCM Arusha wamuonya Mbowe na CHADEMA

UVCCM Arusha wamuonya Mbowe na CHADEMA

Leo kwenye mkutano Wa hadhara kata ya Unga ltd mwenyekiti uvccm martin Munisi amemwonya Mbowe na chadema kuacha kuendeleza mikwara yao ya kila siku

2010 chadema walisema nchi hii haita tawalika mpaka Leo nchi inatawalika na maandamano ya m4c yaliishia kwa Mbowe na Lema kulamba pesa za m-pesa za wavuja jasho

Kama chadema wathubutu kuingia bara barani ile kauli ya pinda itumike kikamilifu wapigwe tuu maana ni wahuni na wababaishaji

Mbowe ni mwongo Kama shetani hapa Arusha kila akiitishaa maandamano huwa noma ikitokea anakimbia anawaachia vijana wenzetu noma wanakamatwa kupigwa risasi na kumizwa bure mfano nmc Mbowe na slaaa walisema tunakaa pale siku Saba massa sita kitendo cha polisi kufika nmc Mbowe alikimbia toka Arusha mjini mpaka Tengeru kwa Mtei baba mkwe wake

Baada ya mabomu sowetho serikali ilikataa mkutano Wa hadhara chadema wakalazimisha kufanya mkutano noma ilipotokea Mbowe na Lema walikacha pikipiki za vijana Wa Arusha na magari yalikamatwa na kupata usumbufu mkubwa Sana Wa kuzikomboa

Msikubali kudanganywa na hawa wahuni kwani hawana nia mzuri

Katiba haipo huku bara barani inapatikana mjengoni Dom. Kama nikuandamana wakaandamane kwenye jengo LA bunge LA katiba

Chadema na Mbowe ni watumishi Wa wakoloni na nia ya wajerumani nikurudi kututawala ndiyo maana wanawapa pesa siku sisi tukianza kuuana hapa wao watakimbilia huko kwa waliyo watuma

Tanzania niyetu sote tusikubali kugawanywa Arusha kwasasa hatudanganyiki tena Lema akija tena hapa mdaini zile machinga complex na zile Hosp.tatu aliahidi
Hii hekaya yako ingenogeshwa hata na picha mkuu wangu! maana kwa Unga limited hamnaga CCM kabisa so huu ni uongo uliotukuka
 
Kwa sasa hatuhitaji kuambiwa muhuni ni nani kati yako na hao unaowataja, wahuni nchi hii wanafahamika na ndo chanzo cha umasikini wa nchi tajiri kama hii
 
nchi inatawalika wakati kila siku mkuu analiwa kona na mafisadi,wanaiba watakavyo maana pale usingizi wa pono!
 
Hivi ccm walikua wapi mpaka Lema aje kuwadanganya wakazi wa Arusha?Ahadi za ccm zimetimizwa zote?uuwii huyo Munisi kwa nini anakosa adabu namna hiyo?Slaa na Mbowe si rika lake sasa kwanini anawataja kama anataja watoto wake?Ushauri wa bure kwake siasa uchwara zisimkoseshe nifhamu arusha tunaheshimu umri!
 
Back
Top Bottom