mfano mdogo ni kwenye makazi hasa mitaa na kata wengi wanatumia majina maarufu ya mitaa badalaa ya yale husika sijui utakua umenielewa au unataka ufafanuzi zaidi
ivi kuuliza siku izi ni kujipa presha na ukiuliza kitu usichokua na uhakika ni utoto
ila kumbuka taarifa zinazoitajika sio index namba tu
kuna watu mkopo wamekosea kujaza lazima watakua na hofu juu ya ilo pia
lkn asante kwa mchango wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.