Ni baada ya kuzidiwa na Mohamed Ally ndipo mke wake akapiga kelele na kumwambia Spings ma left, ndipo ilimtoka ngumi moja matata sana Mohamed akaikwepa ikapiga chuma na kikapinda.
Nakumbuka kumuona mara ya kwanza ni uwanja wa Jangwani Dar mwaka 89 alikuwa akiongea anamalizia na iiiiiii alikuwa bado kijana sana ilikuwa inaitwa The Big November Crusade
Ndugu ni biashara ninayoipenda na sio kwamba kuna mtu ananiuzia hapana, nauza mm mwenyewe japo kuna mradi mwingine unaniingizia kipato lakini hili duka linataka niingize na hela ya mradi mwingine hapo ndo nachoka kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.