tunaomba vyama vya siasa viwe makini kulinda amani. Kila chama kihimize wafuasi wake ustaarabu na amani. Pia kwa vyama vinavyotuhumiwa kuvaa sare za wengine intelgensia itumike.
Waheshimiwa katika baadhi ya makundi ya What'sapp niliona pendekezo moja la Kiongozi wangu mmoja wa dini ambaye Baadaye niliamua kuwasiliana naye kwa UFAFANUZI.
AMETOA USHAURI UFUATAO KWA VYAMA VYA SIASA
VIWE NA FOMU MAALUM YENYE MASWALI MUHIMU KWA WAGOMBEA WOTE. KILA CHAMA KITENGENEZE MASWALI...
RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE KWA CHADEMA.
UCHUNGUZI WA MWENENDO WA KISIASA WA ZITTO Z. KABWE NDANI NA NJE YA CHADEMA.
UTANGULIZI:Tangu mwaka 2008 mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber Kabwe ulianza kutiliwa shaka na wanachama wa CHADEMA ndani na nje ya chama, Hili lilipelekea kuibuka...
mara ZOTE watu wa usalama wa taifa huonekana wapinzani na hiyo ndiyo njia ya kupata WAFUASI. Itakuwa msaliti wa kijinga kama akisaliti NA Kila mtu amuone ni msaliti. Mrema aliipinga CCM kuliko Zito na hata akipigwa na polisi. Leo kila mtu anajua Mrema ni nani. ZITO ukitaka ueleweke shitaki...
Kumbe ni chama cha kupingana na CHADEMA na UKAWA? Haya yanajitokeza mara nyingi. Ni vigumu kuficha makusudi ya uanzishwaji wa CHAMA. Kwa hiyo hiki ni chama rafiki na chama tawala na malengo yake kuua UKAWA?
Anzisha thread yenye huo mtiririko wa matukio kama ulivyotolewa na Nipashe uone kama wataiacha. Hata jamii forums kuna MASWALI. Ila nashukuru jinsi ulivyoweka wazi.
kama ni porojo mbona wasilishitaki gazeti la Nipashe? Namba ZOTE za simu za watu asiwepo hata mmoja aliyeenda mahakamani? Haipaswi kuitwa porojo. Pia haya yanalenga uchaguzi mkuu kugawa kura.
HII habari iliandikwa na Nipashe Je iliwahi kukanushwa NAOMBA mnisadie. Habari ndefu sana HII hapa.
RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE KWA CHADEMA.
UCHUNGUZI WA MWENENDO WA KISIASA WA ZITTO Z. KABWE NDANI NA NJE YA CHADEMA.
UTANGULIZI:Tangu mwaka 2008 mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber...
Mr. Pasco suala hapa kwa sasa sio je Zito amefanyiwa sawa au la. SUALA hapa ni kuwa yaliyotokea ni mahakama kuitupa KESI ya Zito. Then Chama kumfukuza kwa kukiuka katiba. Umuhimu wa kufungua KESI inawezekana ulikuwepo.
Kama katiba inatamka kuwa kiongozi akikipeleka chama mahakamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.