Recent content by Mtafutaji hachoki

  1. M

    Wanyonya uchi

    PUNGUZA Ushauri kwenye starehe za Watu 😂😂😂
  2. M

    Airport Operations Officer II & Airport Security Officer II (TAA)

    Hatari na nusu... ila ndo wameliwa vichwa vibaya mno
  3. M

    Airport Operations Officer II & Airport Security Officer II (TAA)

    Noo.. dogo alipiga moja hapo so nilikuwa nafanya follow up tu
  4. M

    Interview TAA(Mamlaka ya viwanja vya ndege)

    vipi babuu shemu ake ametoboaa....????
  5. M

    Airport Operations Officer II & Airport Security Officer II (TAA)

    majibu yameshatoka yanakatisha tamaa hatarii..... hiyo security officer wamefaulu wa kwanza ana 80+ ila cut off point ni 65... hiyo operation officer wamefeli wa kwanza yuko kwenye 60+ ila cut off ni 50 wameselect watu 27 kati ya 900+ waliofanya usaili
  6. M

    Majina ya waliofaulu usaili wa Sensa 2022

    mkeka wa kinondoni wakulungwa mliopata kila la kheri. mliokosa Mungu awatie nguvu.. msikate tamaa fursa nyingine zinakuja
  7. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Majina sina..yalibandikwa ofisi za kata.. kama vipi pita hapo kata ukaya cheki kama bado yapo
  8. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Mkeka wa kinondoni kata ya mwananyamala ukitoka tujuzane wakuu
  9. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Imagine... Yaani hata mimi nimejiuliza sana...hawa wanaenda kuhesabu watu zaidi ya 60m wameshindwa kuweka majina ya watendaji 225k kwenye website yao kwa utaratibu mzuri wa kimkoa? Wanakaa wanasambaza majina nusunusu bila utaratibu wowote wa kueleweka..Sijui hiyo sensa itakuwaje au natakwim...
  10. M

    BASATA waufungie wimbo wa Albert Mangwea

    kuna na hizi..ukimpa macho matatu sisi anatupa jicho moja, we si unakijambio sijui tumia hilo kalio,utaliwa jicho mpaka uote kengeza na zingine za namna hiyo mtoa mada hajaziona ameona huo wa ngwea unao elimisha kabisa..... nachukia nyimbo za namna hii ni kinyume kabisa na maadili zinahamasisha...
  11. M

    Prof Jay: Ferooz akiwa wa moto sana alikuwa hagusiki yaani uvimbaji kama wote

    yaani acha; walikuwa ni washamba kazi yao ilikuwa ni kulewa, kungonoka, kuvuta bange na kubwia unga mwishowe wakageuka mateja... asilimia kubwa ya wasanii wazamani waligeuka mateja kwasabau ya ushamba na ulimbukeni wa maisha wakawa target ya wauza unga.... yani walijua kuwatajirisha wauza...
Back
Top Bottom