Habari za majukumu waungwana!
Mimi ndugu yenu mwanafamilia wa Jamii Forum nimerejea tena nikihitaji kazi. Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya Sayansi Akua na Uvuvi (Aquatic Sciences and fisheries) katika chuo kikuu Cha Dar es Salaam mwaka 2020. Umri wangu ni miaka 27, mwanaume na mkazi wa...
Status: job seeker
Gender: Male
Age: 27 years
Education: Degree in Aquatic Sciences and Fisheries
Experience: 2 years in Revenue collection
: 1 year in Fisheries and Conservation
Availability: as soon as possible
Skills: Computer skills, management, evaluation and decision making skills...
Masharti mengi sana yaani, nimeshindwa kuapply kwa sababu ndogo tu! Wanahitaji pdf document ambayo ni less than 1.0Mb na Academic transcript yangu iliyothibitishwa ina 1.25MB.
Naona ni bora waangalie hayo masharti wanayoyaweka aisee
Kama Kuna namna tusaidie mkuu! Watu tupo tofauti tofauti na background ni tofauti pia. Wengine wana shida za muda mfupo ila kwao wanajiweza hivyo shida ikiisha anajuona Bora zaidi ila tulio wengi tunahitaji kubadilisha maisha tuliyoyaacha nyumbani na tukipata pa kushika tunafanya vitu kwa...
Status: job seeker
Gender: Male
Age: 27 years
Education: degree in Aquatic Sciences and Fisheries
Experience: 2 years in Revenue collection
: 1 year in Fisheries and Conservation
Availability: as soon as possible
Skills: Computer skills, management, evaluation and decision making skills...
Uko sahihi mkuu, ni kweli vijana wanajihusisha na hiyo miradi lakini penyewe sio rahisi sana. Kuna kampuni ambazo zinahitaji wataalamu wa hayo mambo lakini mara nyingi inakulazimu uprove experience kwao kwanza kabla hawajaanza kukulipa kama expert; Kuna wengine wanafanya kutoa elimu kwa wafugaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.