Recent content by Mtafutaji Asiyechoka

  1. M

    Ninahitaji kazi, professional au non professional

    Habari za majukumu waungwana! Mimi ndugu yenu mwanafamilia wa Jamii Forum nimerejea tena nikihitaji kazi. Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya Sayansi Akua na Uvuvi (Aquatic Sciences and fisheries) katika chuo kikuu Cha Dar es Salaam mwaka 2020. Umri wangu ni miaka 27, mwanaume na mkazi wa...
  2. M

    PCCB na vyeti vya darasa la saba

    #Sijui hata nilikosahe kuitwa kwenye usaili#
  3. M

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mwenye uhakika na hizi contents ndie anaeweza kuhoji
  4. M

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Status: job seeker Gender: Male Age: 27 years Education: Degree in Aquatic Sciences and Fisheries Experience: 2 years in Revenue collection : 1 year in Fisheries and Conservation Availability: as soon as possible Skills: Computer skills, management, evaluation and decision making skills...
  5. M

    Hatimaye nimepata kazi kupitia JF

    Hongera mkuu na kila lakheri, na Mimi nikipata kazi nitakuja kutoa ushuhuda hapa
  6. M

    Sonnabend Pediatric AIDS Foundation (SPAF)

    Kimbia sana, matapeli hao, na ukikubaki kutoa hiyo hela umeisha
  7. M

    Investigation Officers II (250 Posts) at PCCB / TAKUKURU February, 2024

    Masharti mengi sana yaani, nimeshindwa kuapply kwa sababu ndogo tu! Wanahitaji pdf document ambayo ni less than 1.0Mb na Academic transcript yangu iliyothibitishwa ina 1.25MB. Naona ni bora waangalie hayo masharti wanayoyaweka aisee
  8. M

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Kama Kuna namna tusaidie mkuu! Watu tupo tofauti tofauti na background ni tofauti pia. Wengine wana shida za muda mfupo ila kwao wanajiweza hivyo shida ikiisha anajuona Bora zaidi ila tulio wengi tunahitaji kubadilisha maisha tuliyoyaacha nyumbani na tukipata pa kushika tunafanya vitu kwa...
  9. M

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Status: job seeker Gender: Male Age: 27 years Education: degree in Aquatic Sciences and Fisheries Experience: 2 years in Revenue collection : 1 year in Fisheries and Conservation Availability: as soon as possible Skills: Computer skills, management, evaluation and decision making skills...
  10. M

    Nimerejea tena wakuu, nahitaji kazi

    Uko sahihi mkuu, ni kweli vijana wanajihusisha na hiyo miradi lakini penyewe sio rahisi sana. Kuna kampuni ambazo zinahitaji wataalamu wa hayo mambo lakini mara nyingi inakulazimu uprove experience kwao kwanza kabla hawajaanza kukulipa kama expert; Kuna wengine wanafanya kutoa elimu kwa wafugaji...
Back
Top Bottom