Recent content by Mtafiti wa Kale

  1. M

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Ok asante !kwahiyo nasaga vyote kwa pamoja na kuchanganya na hiyo vaselin? Bora kuuliza zaidi kuliko kujifanya mwelevu kumbe. .....
  2. M

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Umesema septrini za sh 1000 ? Ingekuwa vizuri sana ungesema idadi ya vidonge ni ngapi kwasababu sehemu bei ya vidonge inatofautiana
  3. M

    Mh Rais,utayaishi maneno yako?

    Uko sahihi mzeyaa
  4. M

    Mh Rais,utayaishi maneno yako?

    Mwezenu kila nikikomenti naona ishara kesi ya "Uchochezi"
  5. M

    Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella azomewa mbele ya Rais Magufuli

    Kaka hii jamiiforum usizani uliko ndiko kila mtu yupo. .....at least now
  6. M

    Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella azomewa mbele ya Rais Magufuli

    Kisa cha kuzomewa kiko wapi? Heading yako mmmmmm
  7. M

    Waziri Mkuu aitaka TRA kuacha tabia ya kuwapandishia wafanyabiashara kodi kiholela

    Watu tumeshakung'utwa makodi ya ajabu. ...halafu Waziri mkuu anakuja kulisemea leo? ??Nae huyu km kajanga fulani hivi
  8. M

    CHADEMA/UKAWA wamehaha

    Too much of anything is harmful. ....kila jambo lina kiasi. ...kodi mpaka kutoa pesa benki? which type of taxes is that? ??? Wanaoafiki waseme ndioooooooo. ....Ccm nzima ndiyoooooo
  9. M

    Kwanini kila kesi Tundu Lissu anashinda?

    Mbona hakutwi na hatia? Au ndiyo kusema umetangulia kupotoshwa? Umeandika kwa kujiamini kitu ambacho hakina ukweli. ....umetangulia mno kupotoshwa
  10. M

    Kauli ya "Chagua Magufuli" badala ya "Chagua CCM" Kulipiwa Kisasi Dodoma

    Kutakuwa na kura ya Wazi,mnamchezea Nzee Nkapa nyie. ....Ccm full mikwapuo
  11. M

    CUF kufanya maandamano kushinikiza Lipumba kupewa uenyekiti

    Mmmmmm chama madarakani wamekuja na ileile mbinu ya kupewa tshirts. ......sio mbaya police c yao na waandamaji ni wao
  12. M

    Fatma Karume: Dk Shein Siyo Rais wa Zanzibar

    Hujui maana ya kujenga Taifa ndo maana unaongea usichokijua ila umekaririshwa maneno, Viumbe vyote hutegemea na ndo maendeleo ya viumbe hivyo iwe jiwe au maji, wadudu au wanyama. Kazi gani unayo zungumzia wewe? Tz tumeshakosa zaidi 470 mln us dollars. Mamilioni ya fedha yametumika na uchaguzi...
  13. M

    Binti wa Kikenya ananitambulisha kama Mkenya huku ugenini

    Kaka mkung'ute jando full nizamu itakuja so soon ! Na atasema we are from Tanzania and the mount Kilimanjaro is in Tanzania and we also have so much more National parks in Tanzania, mlenge na jando tu kwiiiiishaa jeuri
  14. M

    The English of President Magufuli of Tanzania

    Kweli kabisa mheshimiwa Borat69, sasa mnakichokoza cha nini mpaka mnahaibika hivyo c ndo ulofa zaidi? Sasa nimejua malofa ni akina nani! He was suppose to use our swahili language instead of using that malofa language(English) while he can not speak it smart. Wewe ndo lofa original
  15. M

    The English of President Magufuli of Tanzania

    Ndugu usipaniki kwa kias hicho, wezetu hutumia lugha za kwao sasa km Eglish haipandi c twanga kiswahili tu hizo the the za nini sasa? Huyu ni kiongoz wetu ni kioo kwetu pia , if English is bit tyt for him why don't he speaks swahili?
Back
Top Bottom