Kwenye nyumba zetu tunazoishi au maeneo mbalimbali ya biashara, changamoto ya umeme wa kushea ni kero kubwa kutokana na kutegemea mfumo wa kushea mita moja ya umeme (LUKU).
Katika mfumo huu ni ngumu kutambua matumizi ya umeme kwa mtu binafsi, ni ngumu kudhibiti matumizi ya umeme kwa mtu binafsi...
Kwakweli hata na mimi naihitaji, nimefuatilia sana sijapata muafaka.
Kwa wakati huu tuliopo ni ajabu sana Chuo kutoweka wazi prospectus sababu yale mambo ya mtu kuingia kichwakichwa kusoma mivitu usiyoihitaji ishapitwa na wakati
Habari wana taaluma.Mimi nilihitimu kidato cha 4 mwaka 2010 masomo ya biashara.
Masomo yote nilipata D isipokuwa Book-keeping 'A' , Mathematics 'B' na History 'C'.
Niliendelea advance masomo ya biashara pia (ECA) na kuhitimu mwaka 2013.
Matokeo hayakuwa mazuri, sababu zilikuwa nyingi lakini...
Habari wanajamvi.
Hali ya sasa kiuchumi inahitaji biashara muhimu tu ili kuweza kuilinda pesa.Mahitaji ya chakula yanazidi kuongezeka siku hadi siku,na upatikanaji wake baadhi ya maeneo umekuwa mgumu kutokana na sababu kadha wa kadha. Leo nimeona tupeane mawazo mazuri kwenye biashara ya mazao...
Demokrasia ni ngumu kuitekeleza kwa sababu haiendani na maumbile ya mwanadam.
Baada ya utangulizi huu,
Nakupongeza mtoa mada.Umejaribu kuliona tatizo ila hukuweza kuonesha suluhisho.
Kama mwandishi mahiri mwenye kutaka kuionesha jamii wapi pa kuelekea ili iweze kufikia katika maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.