daaah, watu waliowengi wanaishutumu jkt, kwa maoni yangu naona ni jambo jema, sema ni kwel kuna baadhi ya vitendo vya unyanyasaji ikiwemo matendo ya ngono, sasa basi ni vyema hatua njema zichukuliwe ili matendo hayo yakome na si kusema lifutwe, vifo mafunzon vinaweza kusababishwa na udhaifu wa...
kitaja umesema kwel kaka, kwa uelewa wangu wa biblia miujiza watu wa Mungu wanaifanya ili kondoo waliopotea wamrudie Mungu na sio kutajirika namna hiii.... people lets wake up na tujaribu kuridhika na tulivyonavyo...... basi kila Mtu atumie annointing water alafu tuone dunia itakuaje, and why do...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.