Maamuzi ya muungano ni ya wananchi wote' hivyo wapuuzi wachache wasituvuruge na wingi wa serikali wazitakazo kwa sababu zao' tudumishe muungano wetu siku zote
Yeye ni nan Tanzania nchi yenye watu zaid ya milion 40!! Akijitoa yeye wapo wengine watakaosimama kidete kuijenga katiba ya nchi yetu' ni vyema walivyofaham na kugundua jambo ambalo wangelifanya lingekuwa la kipuuzi sana na lisilo na maslah kwa watanzania' ni daliki ya uoga na kukimbia kwenye...
Ww kukaa Arusha mwezi mmoja ina maana ndo umeijua sana Arusha na hali yake kiuchumi, ina maana wazawa na waliopo Arusha hawalion hili kama lipo na ina maana hawajitambui??? Labda ungejaribu kufanya utafiti kuhusiana na hili
Hv ww kweli ni mtanzania mzalendo mpenda aman??? Au umetumwa, maan kazi yako ni kufikiria ufitinishi na uchanganishi siku zote, kama huna jambo la msingi la kujadili kuhusu maendeleo ya nchi yetu sio lazima uandike'
Lipi ni jini kati ya CCM na chadema!!!! Kuna vyama vipo kifreemanson had dam imwagike ndo wapate umaarufu, chadema siku zote hufanya fujo na maandamano ili mrad tu wamwage damu ili umaarufu wao uendelee, CCM inategemea wananchi na mikutano kupata umaarufu, hivyo tafakari vizuri kabla ya kuandika...
January Makamba ni kiongoz ambaye ana hotuba zenye mashiko ya kitafiti na za mvuto wa kisiasa' ukiacha mkuu wa nchi naamin January ndiye kiongoz mwenye hotuba za ushawishi,
Kweli ww ni manyanya' sitaki kuamin kama kijana wa kitanzania mwenye kuipenda aman kutaka kuwadanganya watanzania wasioifaham kata ya mpwayungu na wasijua yaliyotokea mpwayungu!! Binafsi nimehudhuria kampen za mpwayungu na mbona CCM hatulalamiki namna mlivyoleta vijana zaidi ya 50 kutoka mwanza...
Tatzo mbowe ni mvivu wa kufikiri' ishu ya wana ccm kuwa wengi ni kawaida kulingana na wingi watu na kujitambua, binafsi nashindwa kumuelewa mbowe kwa kudhan kila siku zote umaarufu wao huletwa na migomo, ifike hatua tutawachoka kwan wao ni kina nan, Nawashauri tu wana-chadema wawe na utaifa...
Chadema ni chama cha watu wasiojitambua na kuishi kiharakati badala ya kisiasa' wao ni kina nan had wawazuie wananchi kununua kazi zao! Siku tukiwapa nchi hawa watu tutalia na kusaga meni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.