Mwenye akili hulia yanapotokea haya ktk nchi inayohitaji demokrasia iliyokomaa kama tz kwa mujibu wa katiba ya chama lazima kamati kuu ikutane ijadili mwenendo wa kesi na hukumu yake ndipo itoe uamuzi na si kumuacha mwanasheria wa chama kutangaza maamuzi ya chama bila vikao lakini suala hili kwa...
kwa namna escrow ilivoleta mafanikio kwa kijana zzk hakika chadema haina budi kumrudisha kundini na imethibitika tu pale baba wa zito kisiasa mh mbowe alipoona mwanae anasema akil imechoka bila hayana alisimama na kumpigania jahaz lisizame welcom home again mh zito its cdm mzee
nakubali kabisa mzee wa kaya aliagiza baada ya kushauliana na wataalamu wake ikulu fuateni ushauri wa AG, sasa ni wakati wa bunge kujaribu kutuwakilisha wananchi kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na jk vinginevyo wananchi tutachukua hatua 2015 japo nami ni mwanaccm ntafanya kama pac...
wakuu
political of africa dangerous 2the observes,
it slaughter its own speakers,
it imprison cork stealers,
bandits and armed robbers,
stay on golden
chairs
hii ndio tanzania wakuu play your part.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.