Recent content by Msuluhishi 1

  1. M

    Uliza jambo lolote kuhusu Bahari na safari na vimbwanga vya Baharini

    Swali langu hukunijibu. Swali liko hivi; Bamvua huanza mwezi ngapi hadi mwezi ngapi?
  2. M

    Uliza jambo lolote kuhusu Bahari na safari na vimbwanga vya Baharini

    Bamvua huanzia mwezi ngapi hadi mwezi ngapi?
  3. M

    Niulize chochote kuhusu Nyuki na Asali

    Ukifuga nyuki karibu na makaazi ya watu, au kwenye makaazi ya watu, haitawezekana kwa nyuki kutengeneza asali hata kama kuna maji na maua ya kutosha?
  4. M

    Maajabu ya mazishi ya Kisukuma

    Mwanandani kwa Waislamu pia hua pembezoni mwa kaburi haiwi katikati ya kaburi. Kama uliwahi kuona Waislamu wamechimba mwanadani katikati ya kaburi ujuwe watu hao wanahitaji kuelimishwa.
  5. M

    What if Mombasa ingekuwa sehemu ya Tanzania?

    Mombasa ilikuwa ni kipande cha Zanzibar, na mlima kilimanjaro ulikuwa ni eneo la Kenya. Wajarumani na waingereza wakabadilisha.
  6. M

    Wazungu hatuwawezi na hatutowaweza

    Hata wawe wamefanya au wanafanya kitu gani ,bado huwezi kuelezea mambo yatayokuja siku za baadae. kwani hapo zamani unajua wazungu walikuwa vipi?
  7. M

    Wazungu hatuwawezi na hatutowaweza

    Hatuwawezi na hatutawaweza kwa kitu gani?
  8. M

    Mufti Sheikh Abubakar Zuberi augua, nduguze wazuiwa kumuona

    Yesu yeye mwenyewe ni mwana adamu, ameumbwa. hana uwezo wa kumponya mtu. Mwenye uwezo wa kumponya mtu na uwezo wa kila kitu ni mmoja tu, naye ni yule aliyemuumba huyo Yesu.
  9. M

    Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

    Maelezo yako mazurri sana, lakini hapo umekosea nakushauri ukifute kipande hicho.
  10. M

    Utata uliojificha kuhusu Corona

    Korona haienei kwa njia ya hewa. Corona ni vijidudu vinavyoishi katika mazingira ya baridi. Vimelea vya corona haviishii katika mazingira ya joto.
  11. M

    Waislam mnasemaje kuhusu kuacha kushikana mikono baada ya swala Msikitini?

    Kupeana mikono kwa waislam ni suna, kwa hiyo huwezi ukasema kuwa hupendelei kupeana mikono na wenzio kwa kuwa huo ndio utaratibu wako. Wewe huna ruhusa ya kujitungia utaratibu. wako mwenyewe bali unatakiwa ufuate suna. Unatakiwa ufuate utaratibu ule ule aliokuja nao Rasulu Laah sala lahu alaihi...
  12. M

    Kufungia simu Serikali itapoteza zaidi ya 30% ya kodi toka makampuni ya simu

    Kwani simu ina mipaka ya kupiga? Tayari umeshaelezwa kuwa U.K unanua simkad kwa cash bila ya kitambulisho. Unachofanya wewe ni kijizungusha na kutoa madai yako yasiokuwa na msingi. Hiyo kuulizwa jina lako na Post code haina uhusiano na hayo madai yako. Kuulizwa jina na Post code ni jambo la...
  13. M

    Miujiza 40 ya mtume Muhammad (S.A.W)

    Aliwahi kuwaombea dua wanyama na wanadamu, ambao walikuwa wameshakufa, katika matokeo tofauti, na hatimae wakapata uhai tena.
Back
Top Bottom