Kilichofanyika Jimbo la kawe n Cha kusikitisha.. wasimamiz tumelipwa marar3 ya malipo halali.. Ninaushahidi wa kilichotokea. wasimamiz wa nec tuligeuzwa mawakala wa ccm. Siku ikifika nitauweka hadharani
Unaamka zako asubuhi, unakuta fundi kakutext ' Mambo ' . Basi unajisemea mwenyewe ' Kudadeki ' Mambo si haya sasa.
Unachat kwa dakika kadhaa kisha unamuomba aje site, bila hiyana anakujibu poa. Ila sina nauli.
Unamuuliza kwani kutoka Bunju Hadi Jogoo ni bei gani. Njoo nitakurudishia...
Mkianzisha Uzi wa wadangaji wa insta mtanishtua niwataje ninaowakubali wakiongozwa na..
Slim Marry
Yule binti wa Yanga
Na wengine wengi tu
Ila kwa tv namkubali. Farha Middle
Kingine washaurini wale wenye kipind cha mchana waache shobo za kuwapgia artist wa mbele..
Juzi nmewaskia nkaishia kucheka tu..
Maswali yao utaskia
Kwanini umeamua kuuita jina hili album yako
Album yako utarelease lini
Instagram umem unfollow AKA kwanini
Kwakweli n vtuko. Waambieni waongeze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.