Recent content by MstahikiMeya

  1. MstahikiMeya

    Edward Lowassa special thread

    Wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu...kuna mfata mkumbo mmoja huku yupo taabani presha kama sio kisukari...hii yote kutokana na walio mtegemea kufeli kwa kishindo amekuwa na msongo wa mawazo toka juzi ...leo jion hali imekuwa mbaya ANAOMBA USHAURI ATUMIE DAwa Gani ya kuondoa .msongo wa...
  2. MstahikiMeya

    Kutoka Dodoma: Fedha za kuhonga wajumbe wa NEC ya CCM zakamatwa!

    amekamatwa st gasper dodoma akiwa na pesa nyingi kwa ajili ya kuhonga wajumbe wa mkutano wa CCM
  3. MstahikiMeya

    Mtoto wa mwezi mmoja kutoka maziwa puani

    Wakuu habari za leo Mwanangu wa mwezi mmoja anatokewa maziwa puani hali hii imejitokeza wiki ya pili toka kuzaliwa kwake. Sasa jana imeenda mbali yametoka mpaka maskioni . Wakuu nini kinasababishwa na hii hali. On my way to hospital. Je kuna mdau ameshakutana na hali kama hii nipo njia panda.
  4. MstahikiMeya

    Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

    HAKIKA WEWE NI KICHAA UNAEJITAMBUA KUWA WW NI MWENDAWAZIMU...mwanaume alie kamilika hawezi kuongea utumbo kama huo dah..haki ya mungu
  5. MstahikiMeya

    Hospitali gani nzuri ya kumfanyia tohara mtoto?

    labda nitumie neno kutahiri
  6. MstahikiMeya

    Hospitali gani nzuri ya kumfanyia tohara mtoto?

    mchanga....nataka in sha allah awe amepona kabla ya arobaini
  7. MstahikiMeya

    Hospitali gani nzuri ya kumfanyia tohara mtoto?

    NDIO NAELEKEA HAPO MKUU shukran
  8. MstahikiMeya

    Hospitali gani nzuri ya kumfanyia tohara mtoto?

    Husika na kichwa cha habari wakuu, ni hospitali gani nzuri kwa kufanyia tohara wototo wadogo hapa Dar Shukran
  9. MstahikiMeya

    Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

    iissssshhhh sasa huu ndio utumbo gani....
  10. MstahikiMeya

    Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

    naomba namba yake kuna kitu nataka kumuuliza
Back
Top Bottom