Wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu...kuna mfata mkumbo mmoja huku yupo taabani presha kama sio kisukari...hii yote kutokana na walio mtegemea kufeli kwa kishindo amekuwa na msongo wa mawazo toka juzi ...leo jion hali imekuwa mbaya
ANAOMBA USHAURI ATUMIE DAwa Gani ya kuondoa .msongo wa...
Wakuu habari za leo
Mwanangu wa mwezi mmoja anatokewa maziwa puani hali hii imejitokeza wiki ya pili toka kuzaliwa kwake.
Sasa jana imeenda mbali yametoka mpaka maskioni .
Wakuu nini kinasababishwa na hii hali.
On my way to hospital.
Je kuna mdau ameshakutana na hali kama hii nipo njia panda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.