Recent content by msopo

  1. msopo

    Huduma ya Airtel Money inasumbua, ukipiga huduma kwa wateja mtandao haupatikani

    Hamna kitu leo, hata ukifungua data ni zero kabisa.
  2. msopo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hao jamaa wanataka kama umejiunga na laini ya tigo ndo utumie hiyohiyo kutoa na kuweka. Ndo walichofanya sahizi.
  3. msopo

    Nesi akiri alivyomhanithi mumewe na kumuua polepole kwa dawa ya macho

    Salute kwako bro, story tamu na huchoki.
  4. msopo

    Uchunguzi wabaini mchezo mchafu wanandoa ajali ya gari kutekea moto

    Vyombo vya usalama hutafuta kakosa ambako hata huwez kufikilia.
  5. msopo

    Uchunguzi wabaini mchezo mchafu wanandoa ajali ya gari kutekea moto

    Jamaa itakuwa alikuwa hawaamini ndugu, angewaamin na kuwapa mkanda wote. Sahz angekuwa anakula kuku kwa mrija ughaibuni. Pia, mwanasheria ilibidi ajiongeze hapo na angetoa ishairi wa kushirikisha ndugu.
  6. msopo

    Uchunguzi wabaini mchezo mchafu wanandoa ajali ya gari kutekea moto

    Ni kweli kila ktu n kuhakikisha hufanyi mistake na kuwa mbele ya wakat hapo kuwin n nje nje.
  7. msopo

    Uchunguzi wabaini mchezo mchafu wanandoa ajali ya gari kutekea moto

    Za mwizi arobaini, hapo ndo walikosea. Wakat nasoma nilihisi kutakuwa na ktu kama hcho. Mtaalam wa hesabu atakosa hata ya kujumlisha
  8. msopo

    Wanawake wanaficha umalaya wao hivi, ni rahisi kuwajua

    Naunga mkono hoja. Nilikutana na mmoja nkajua nipo peke yangu kumbe kuna mwingine, hadi nikahisi dini amefosiwa. Mimi nilijua nimepata wa peke yangu lakini ana mwingine.
  9. msopo

    TAMISEMI Waliweka nafasi hewa za ualimu

    Hiyo hamna hata moja nliyopata nlikuwa wa kwanza, katika 5 zmekuja 4 moja haipo kwny mkeka na waliopata n diploma na moja n degree wa mwaka mmoja.
  10. msopo

    Anwani za makazi: Nape anaupiga mwingi

    Daaaaah! Tumepigwa tena...
  11. msopo

    Crack the password

    Namba ipi hiyo?
  12. msopo

    Group langu la damu ni O Negative la mke wangu ni O Positive: Je, tukizaa mtoto atapata tatizo?

    Jamaa acha kuyumba, kama ni O negative nenda kapime haraka sana ili muweze kumuokoa mtoto wenu au watoto wajao. Huwa wanasema kama atajifungua salama mtoto wa kwanza basi watoto wengine hutapata zaid ya ujauzito kuwa unatoka bila sababu. Nenda kapime na kapate ushauri wa daktari.
Back
Top Bottom