Habari wakuu.
Mimi ni kijana wa miaka 29 nimeoa mke ana miaka 24 ,tuko kwenye mahusiano kwa miaka mitano sasa tumebarikiwa watoto wawili.
History yangu na huyu mwanamke nilikutana naye akiwa 18yrs. Tulikubaliana tukaoana alinikuta nikiwa vibaya sana financially na timepitia vipindi vigumu mpaka...
Kweli uk
Hili ndo tatizo la akina mange and co. Wao hudhani democracy ni one way traffic . Kama ukitoa maoni tofauti wao ni matusi na block inakuhusu.
Je wakipewa dhamana wataeza kusikiliza na kutekeleza maoni ya wenye mtizamo tafauti(the pot calling kettle black)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.