Recent content by Msolwa

  1. M

    Carina Ti inauzwa

    6m unachukua?
  2. M

    Manispaa ya Kinondoni yabomoa nyumba zilizojengwa kiholela

    Safi sana kichaa kapewa Rungu
  3. M

    Rushwa nje nje Dodoma Uspika wa Bunge, PCCB mko wapi?

    Umbea mwanzo mwisho
  4. M

    Magufuli apiga STOP Safari za nje ya Nchi; Elimu Bure kuanza Januari 2016...

    Kwa kulisaidia Taifa naomba kushauri kwamba hawa viongozi wetu wanaposafiri kwenda nje ya nchi watumie Economy Class badala ya kutumia Business class, na hapa nyumbani usafiri wa Ma-vx tuwabadilishie na kuwapa Suzuki Vitara ambazo hazina bei mbaya.
  5. M

    Masanja Mkandamizaji achukua fomu ya kugombea Ubunge Ludewa

    Ametumia haki yake ya kikatiba
  6. M

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Uchaguzi hata ukirudiwa mara 10000000 bado CCM itashinda, na sababu kubwa ni kwamba hatuna tume huru ya uchaguzi hapa Tanzania. Tume iliyopo itafanya madudu yaleyale iliyoyafanya kwenye uchaguzi feki uliopita.
  7. M

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Ina maana Davis Mosha ni sawa na "Yahaya"
  8. M

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Davis Mosha ni kijana mwema sana, alikuwa na mipango mizuri sana na moshi mjini. Alitaka kuijenga Moshi iwe kama Dubai, lakini bahati mbaya wapiga kura hawakumuelewa na wameamua kumuweka pembeni.
  9. M

    Edward Lowassa aongea na Watanzania; aahidi Katiba Mpya itapewa kipaumbele - Oktoba 23, 2015

    Kwikwikwikwikwikwikwi. Mzee wa Monduli anawapelekesha ma-ccm
  10. M

    Edward Lowassa aongea na Watanzania; aahidi Katiba Mpya itapewa kipaumbele - Oktoba 23, 2015

    Hotuba ni nzuri sana na imesheheni kila idara.
  11. M

    Onyo: Dr. Magufuli asizomewe tena

    Magufuri kazomewa Mbeya, Mkuranga, Bunju na Mbezi Luisi.
  12. M

    Nape Nnauye apata ajali Kilwa, alikuwa akitokea Dar kuelekea Lindi

    Mimi na Nape tunatofautiana kiitikadi kwa kiasi kikubwa sana, lakini nimesikitishwa kusikia amepata ajali. Ninampa pole na ninamuomba Mungu Baba amponye haraka pale alipoumia ili aweze kuyakabili majukumu yake ya kila siku.
  13. M

    Kiongozi mkubwa BAVICHA kujiunga na UVCCM kesho

    Hata akihama Mbowe na Ndesamburo, bado tutamchagua Lowassa.
  14. M

    Maadili nchi hii kwa vijana yamepungua sana na hakuna hata kingozi mmoja analiona hilo

    Na pia kuna kijana anaitwa Chriss Lukosi, huyu amekosa maadili kabisaaaa
  15. M

    Combine harvester- kubota dc 60,dc 70

    Kwa bajeti uliyonayo kupata mashine nzuri ni ngumu sana. Ninafanya biashara hiyo ya kununua mashine za kilimo na kujengea barabara hapa UK na kuzileta Tanzania. Kwa msaada zaidi ni PM
Back
Top Bottom