Ni ulimbukeni tu unakusumbua wewe hakuna kitu. Wewe unafikiri wakenya wanakuchukulia kama Mkenya?!! Si ajabu unabanagiza madhare halafu unajidai umeukana utanzania...... Shame on you....
Kwa nini Chadema ilipomuita fisadi na kudai ushaidi wanao wakaanzisha na Operaton Sangara wakazunguka nchi nzima wakimtuhumu hawa kumpeleka Mahakamani?!!
Hivi nyie mnaojaribu "ku mshauri " Mh Rais Magufuli ni nani Kati yenu nyie na Mh Magufuli anawafahamu vizuri hawa wabunge wa CCM ? Yeye kafanya nao Kazi kwa miaka 20 katika wizara mbalimbali na Baraza la Mawaziri, katika kamati Mbalimbali za Bunge hivyo ana wajua vilivyo. Ninyi wengine mna chu...
Kweli watu wengine wanasikitisha katika mtazamo yao. Tunaambiwa kwa miaka 54 ya Uhuru hakuna kilichofanyika ,! Ila Nyerere Aliweza! Nyerere katawala miaka 24 hii inaesabiwa wapi?
Kwa kusoma tu ulichoandika hapa wewe mwenye you are very very Far from a person of integrity.. So you don't even qualify to assess others and judge them.
Hivi ICC mnaijua au mnkurupuka tu na kuandika na mtegemee Watanzania wakubali kila mnachosema...!!! ICC ina shughulikia malalamiko ya uchaguzi tangu lini...??!! Hivi hao waangalizi lukuki wa kimataifa na wa ndani mbona hawaja ona hizo hujuma zonazodaiwa ? Vyama Sita vilivyo kuwa na wagombea kura...
Vita unaijua wewe? Si ajabu hata kuku Hujawahi chinja.. Au unafikiri kumwanga damu ni kitu rahisi hivyo ili mradi tu matakwa yako wewe hayajatimia?!! Unasema "hatuwataki" wewe na nani wakati wenye nchi yao wamepiga kura na kuamua?? Wewe umeshaona nafsi yako inawakilisha Watanzania wote... Aibu zako.
Mlizusha ya CDF Sasa mmeumbuka hamtaki watu wahoji hiyo tabia ya kutunga na kusambaza tuhuma ili kujipatia mtaji wa kisiasa ... Aibu zenu..... Njia ya mwongo ni fupi sana ......
Wewe unachanganya kutumia sarafu moja na thamani ya sarafu. Nguvu ya sarafu inategemea na nguvu ya uchumi wa nchi husika. States za marekani kila moja Ina nguvu tofauti za kiuchumi, kama siyo kutumia sarafu moja ya Dollar hata wao kila state ingekuwa na sarafu yenye nguvu tofauti .....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.