Baada ya kuapishwa magufuli leo ni wazi ule mtandao wa wanamtandao walliopanga mikakati ya kumyingiza jk ni wazi sasa unapumulia mashine. Lile kundi la Mkapa limerudi rasmi..
Kumbuka wakati ule mwakyembe amerudi matibabuni,alizunguka mikoani akiwa na Sitta. Six alinukuliwa eti akisema, yeye, mwakyembe na magu walikuwa timu moja ya urais. Sijui taarifa hii kama ilikuwa na ukweli wowote,ila iwahi sikika,ingawa nasikia eti magu alikanusha kuwamo kundini.